ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Imeisha hiyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Imeisha hiyo
Wakati was utawala was Magufuli nilisikia meneja wa tanrod akizungumzia Kuna njia inasubiri daraja kujengwa Singida kwa mbele ambayo itapunguza km 600 Hadi Mara ;lakini mpaka Sasa sijasikia chochote
1. Dar- Arusha pumzika, pita njia ya Longido - Oldonyolengai- Wasso - Soitisambu- Klein's gate- Mugumu- Ikizu-Butiama.Napanga kwenda Kijijini Uzanakini Kutambika ama mwaka huu au mwakani au hata Mwaka Keshokutwa hivyo najiandaa taratibu na Njia za Kupita.
What is too fake MadamToo fake