Hivi ni lini Malalamiko ya Michezo yakashtakiwa kwa Msemaji wa Serikali?

Hivi ni lini Malalamiko ya Michezo yakashtakiwa kwa Msemaji wa Serikali?

Majitu kama wewe yenye ubongo mfupi kama mavi ya asubuhi huwa yanajifanya yanajua sana..

Hujajibu swali huyo ni waziri wa sekta gani?
Daah weweee ni mgumu wa kuelewa mambo, na kama ni shabiki wa mpira basi acha mara moja maana hujui sheria na taratibu zinazosimamia mpira...
 
Daah weweee ni mgumu wa kuelewa mambo, na kama ni shabiki wa mpira basi acha mara moja maana hujui sheria na taratibu zinazosimamia mpira...
Nyie wote ni mashabiki wa mikia .
Mmejaza ushabiki tu
Kila MTU ana point yake japo zinatofautiana
Kwanza tulishamaliza wewe ulikuwa wapi?
 
Ni kati
Still bado ridhiwani alikuwa kwenye payroll ya serikali..
Ishu inabaki pale pale bado huyo ni waziri wa michezo ana dhamana ya michezo na Sana'a..
Mbona basi anavyowasema kina diamond kwa kutoa nyimbo zisizo na maadili hamsemi kuwa anaingilia majukumu sio yake?

Ama wizara inahusika kwenye burudani tu mkuu? Ila kwenye soka.ni FIFA?
Chama kilichojaa kashfa za rushwa na uhuni mwingi?
Ni katibu mkuu wa wizara
 
Acha ubishi kwa Mambo ambayo tayari yapo kwenye Sheria.

Umewahi kusikia kuwa kuna chama cha waimbaji duniani? Sasa hao kina Diamond wanasimamiwa na nani Duniani?

Unajua kwanini Raisi hana mamlaka wala Jeuri ya Kumtengua Raisi wa TFF?

Kwaulize Cameroon na Sudan Serikali ilipoingilia Football, walipigwa Ban kushiriki mashindano yote ya Kimataifa kuanzia Club bingwa Afrika, Shirikisho, AFCON, CHAN, WORLD CUP na International friendly zote zilizopo kwenye Ratiba ya FIFA.
Na Ligi Kuu yenu haitotambuliwi na washindi hawatoshiriki mashindano ya Kimataifa.

Jaribu kufuatilia ndugu FIFA kwenye sheria zake ni Marufuku kwa Serikali yoyote kuingilia mpira wa Miguu. Hao kina Diamond na Wacheza Rede hawana Vyama vya kimataifa vinavyowasimamia wala hawana Sheria na Kanuni yoyote inayowaongoza ndiyomana hata Bongo Movie haina Kanuni yoyote zaidi ya kukokotwa na BASATA wakaishia kuimba mapambio.

Lakini FIFA wana sheria zao za kimataifa tena zina nguvu kuliko unavyodhani ndiyomana wanaweza kuishusha Daraja Timu yoyote na Nchi yoyote ile.

Unakumbuka Sakata la MORRISON? Mwakembe aliufyata na kuishia kulalamika kwa Maredio na TV tu lakini hakuthubutu kutia neno na Uwaziri wake.
Werevu ( Geniuses ) kama Wewe hapa JF huwa mnanikera pale mnapopoteza muda wenu Kumuelimisha huyo Mpumbavu Mwandamizi wa Karne.

Cc: pancho boy
 
Sawa bwana kwa ubishi huwa hushindwi.

Tumekubali
Je, walichokuambia hawa kwa Kukuelimisha mpaka sasa umenyoosha Mkono na Kukubali na kile nilichokuambia Mimi awali ukakataa kina Utofauti?
 
Daah weweee ni mgumu wa kuelewa mambo, na kama ni shabiki wa mpira basi acha mara moja maana hujui sheria na taratibu zinazosimamia mpira...
Tangia Kujiunga Kwako kote hapa JamiiForums umeshawahi kudhania Jamaa ana Akili? Ukiona namdharau Mtu jua ni Mpumbavu kweli kweli Mkuu.

Cc: pancho boy
 
Nyie wote ni mashabiki wa mikia .
Mmejaza ushabiki tu
Kila MTU ana point yake japo zinatofautiana
Kwanza tulishamaliza wewe ulikuwa wapi?
Naona bado tu unatuanikia hapa JamiiForums Ujuha wako tu na kwa Mirejesho ya Watu ambayo inapingana nawe ungekuwa Mwerevu ungetulia.
 
Je, walichokuambia hawa kwa Kukuelimisha mpaka sasa umenyoosha Mkono na Kukubali na kile nilichokuambia Mimi awali ukakataa kina Utofauti?
Naona Bado nakunyevua nyevua ..
Alichosema king ngwaba .
Na wewe utopolo ulioandika havifanani hata kidogo..

Nimekubaliana nae sababu anaelezea kiundani kabisa ..
Ila wewe tahira ukaanza kunishambulia
Na Mimi na fight back tutakesha hapa..
 
Naona Bado nakunyevua nyevua ..
Alichosema king ngwaba .
Na wewe utopolo ulioandika havifanani hata kidogo..

Nimekubaliana nae sababu anaelezea kiundani kabisa ..
Ila wewe tahira ukaanza kunishambulia
Na Mimi na fight back tutakesha hapa..
Aliyekuambia au Kukudanganya kuwa Kukesha Kwangu ni Zoezi gumu nani? Kama nakesha 24/7 Kukubandua hadi Kuridhika nitashindwa Kukesha?
 
Angalia unavyoweweseka kwa kuomba Misaada kutoka kwa Mabasha zako. Nilikuambia Mimi ni Jeshi la Mtu Mmoja na sijawahi Kushindwa Vita pia.
Sasa wewe ulivonitagi Mara zote hizo ili iweje?
Kwahiyo nami ni basha wako?
Haya bahati mbaya huwa sitafuni mashoga kama wewe
 
Sasa wewe ulivonitagi Mara zote hizo ili iweje?
Kwahiyo nami ni basha wako?
Haya bahati mbaya huwa sitafuni mashoga kama wewe
Pira limeshakauka baada ya kutoka Magomeni Mapipa kwa Macheni?
 
Back
Top Bottom