BabaMorgan
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 4,869
- 13,137
Hahah si mpaka upate kila mtu kaziomba uwezi kuwekea malengo kazi za bahati nasibuKama we mwalim ungeomba zile ajira ya kuandikisha daftar la kupiga kura usingekosa milion moja then ukalipa madeni na kuanzisha biashara yyte ile
Mkuu take home ni shngapi unayolipwa huenda nikajifunza kitubora ujue hali halisi ujiweke attention uanzishe biashara ukiwa kny ajira
shukran mkuuHuu ndo ulibidi uwe Uzi na Uzi uwe comment .
Very sorry Brother , hope you shall overcome.
150kMkuu take home ni shngapi unayolipwa huenda nikajifunza kitu
Asante kakaMkuu usiache KAZI kbs..mm mwaka wa 7 huu sijapata ajira za ualimu...maisha magum sana kitaa komaaa na KAZI yako Tu hiyihiyo...lakin kuacha KAZI sikushauri...utajiua kbs ukiacha kazi
Mkuu,Mkuu kila binadamu yupo na majanga yake bila kuzingatia katokea familia poa au la! Nikikupa ya kwangu utajiona champion kwa nafasi yako mkuu. Japo nipo na kila kitu cha kawaida kwa maisha ya mtanzania.
Mkuu somo kidogo hapa kwenye single na double life.Unaishi kwenye ulimwengu bandia Rudi kwenye maisha yako. Weka akiba hata kama ni kidogo pia inaonekana unaishi single life(easy to be seen) jaribu kua na double life...
Vilevile inaonekana unapopata fedha zote zinaishia kwenye madeni ilo ni kosa hata kama unadaiwa na Kijiji kizima.
Duuh pole sana mkuu maana hata kama huna familia hiyo ni ndogo sana ila nakushauri usiache kazi kwa sasa kama una mdogo wako au chalii mpambanaji na upo eneo lililochangamka pambana upate angalau lak7 umuekee kibanda cha tigo pesa halafu pambaneni kukitaftia mtaji huku ukitumia ajira kama backup ya mtaji150k
Asante kwa ushauri leo sijapata comments (jumbe) za kukatisha tamaaDuuh pole sana mkuu maana hata kama huna familia hiyo ni ndogo sana ila nakushauri usiache kazi kwa sasa kama una mdogo wako au chalii mpambanaji na upo eneo lililochangamka pambana upate angalau lak7 umuekee kibanda cha tigo pesa halafu pambaneni kukitaftia mtaji huku ukitumia ajira kama backup ya mtaji
Kama utahitaji details zaidi nichek pm huenda tukasaidiana mawazo zaidi
Usikate tamaa ,Amini Mungu hatakuacha .Nimeajiriwa ngazi ya chini serikalini lakini naona mambo hayaendi kabisa.
mwanzo nilipoajiriwa nilikuwa nafuraha lakini siku zinavyoenda mambo yanaenda ndivyo sivyo.
Nina mawazo kuacha kazi changomoto sijajipanga.
Niwaza hadi nimefika mwisho sijui nifanyeje, nina madeni mengi, na hapo hata sijaoa sina hata mtoto wa kusingizia.
Nina watu zaidi ya watano wananitegemea hapo nyuma kwa sababu ndiye hustler (mpambanaji) wa kwanza huko nyumbani yani nikiyumba mimi ndiyo kwishaa kabisa.
Mazingira ya nyumbani tena ndio hivyo yaajabu na nimepambana hata niyaweke vizuri lakini ndio hivyo tena bado nimekwama.
Nimekaa hivi naangalia Magh, Mash, Kas, Kusini hakueleweki.
Nimejikuta najitenga na watu kwa sababu nasikia hadi aibu hali ya maisha.
Kazi yenyewe ni ngumu makorokocho mengi inachosha haina hata maslahi wakuu.
Ukizaliwa familia maskini aise halafu huna mtu wa kukushika mkono kutoboa unatumia nguvu kubwa sana. Nimejaribu kuwaza kuacha kazi ila shida sina msingi tena.
Wakuu kazi yangu ya ualimu duu sijui nifanyeje kwa kweli.
Kimbunga hidaya hichoNimeajiriwa ngazi ya chini serikalini lakini naona mambo hayaendi kabisa.
mwanzo nilipoajiriwa nilikuwa nafuraha lakini siku zinavyoenda mambo yanaenda ndivyo sivyo.
Nina mawazo kuacha kazi changomoto sijajipanga.
Niwaza hadi nimefika mwisho sijui nifanyeje, nina madeni mengi, na hapo hata sijaoa sina hata mtoto wa kusingizia.
Nina watu zaidi ya watano wananitegemea hapo nyuma kwa sababu ndiye hustler (mpambanaji) wa kwanza huko nyumbani yani nikiyumba mimi ndiyo kwishaa kabisa.
Mazingira ya nyumbani tena ndio hivyo yaajabu na nimepambana hata niyaweke vizuri lakini ndio hivyo tena bado nimekwama.
Nimekaa hivi naangalia Magh, Mash, Kas, Kusini hakueleweki.
Nimejikuta najitenga na watu kwa sababu nasikia hadi aibu hali ya maisha.
Kazi yenyewe ni ngumu makorokocho mengi inachosha haina hata maslahi wakuu.
Ukizaliwa familia maskini aise halafu huna mtu wa kukushika mkono kutoboa unatumia nguvu kubwa sana. Nimejaribu kuwaza kuacha kazi ila shida sina msingi tena.
Wakuu kazi yangu ya ualimu duu sijui nifanyeje kwa kweli.
Pamoja mkuu mwenyew nna mengi ya kujifunza kutoka kwako maana napitia kipindi cha maamuzi magumu sasa hivi Mungu anisimamieAsante kwa ushauri leo sijapata comments (jumbe) za kukatisha tamaa