philantrhopist
JF-Expert Member
- Jun 18, 2023
- 415
- 706
- Thread starter
-
- #101
sante mkuuMkuu malalamiko yote hayo mi nkajua ni totally jobless....kumbe ni muajiriwa kabisa wa serikalini.
Tuliza ndonga tu mkuu humu JF kuna madini kibao ya kukufanya utusue life.
Tafuta kitabu cha " the richest man in Babylon" kitakusaidia kutoka katika hiyo financial crisis
[emoji23]
8Mchawi wako mikopo, kaza roho mpaka iishe yote. Hapo unaweza ukafanya lolote aidha kuweka msingi wa maisha au kupata mtaji uache kazi.
Pole, niko ajirani pia. Ajira ni umasikini. Sorry, una umri gani kazini?
kumbe tuna milikiwaUkijaribu kujiua unakamatwa😀
Kila pesa Duniani,Kila utajiri unaoujua unalindwa na nguvu HASI au chanya!!Ushauri wa kijizi na kitapeli huu.
Tunamshauri apunguze wategemezi asitoe sana pesa, wewe unamshauri akazitoe kwa mlango mwingine.
Inawezekana mkuu ukiwa na nidhamu ya fedha na ukiwa na bajeti unaona haiwezekani kwa sababu unakosa hivyo vitu viwiliMkuu kusave pesa kwa mshahara tu hicho hakiwezekani
mheshimiwa endelea kutupatia nondoKila pesa Duniani,Kila utajiri unaoujua unalindwa na nguvu HASI au chanya!!
Hakuna pesa neutral ,kama unapesa unayohisi ni neutral Basi ikipigwa na mawimbi itakimbia kimbio kuu ambalo huwezi kabisa kuzuia!!!
Ndio maana utakuta Fulani alikua nazo lakini Sasa Hana kitu coz kimbio kuu lilitokea!!
Kupunguza wategemezi sio suluhisho kwake coz uhitaji utabaki pale pale!!!
"Yupo atawanyae lakini hujazwa,yupo azuiae lakini huuendea uhitaji"!!
Huo mfumo nimeujaribu,it works out!!
Wewe si huna mtoto wala mke, hao unaosomesha ni watoto wa nani?sio walemavu ni wadogo wanasoma mkuu
Kazi gani hiyo unalipwa laki mbili..... Mshahara wa laki mbili hauwezi kukufikisha popoteNimeajiriwa ngazi ya chini serikalini lakini naona mambo hayaendi kabisa.
mwanzo nilipoajiriwa nilikuwa nafuraha lakini siku zinavyoenda mambo yanaenda ndivyo sivyo.
Nina mawazo kuacha kazi changomoto sijajipanga.
Niwaza hadi nimefika mwisho sijui nifanyeje, nina madeni mengi, na hapo hata sijaoa sina hata mtoto wa kusingizia.
Nina watu zaidi ya watano wananitegemea hapo nyuma kwa sababu ndiye hustler (mpambanaji) wa kwanza huko nyumbani yani nikiyumba mimi ndiyo kwishaa kabisa.
Mazingira ya nyumbani tena ndio hivyo yaajabu na nimepambana hata niyaweke vizuri lakini ndio hivyo tena bado nimekwama.
Nimekaa hivi naangalia Magh, Mash, Kas, Kusini hakueleweki.
Nimejikuta najitenga na watu kwa sababu nasikia hadi aibu hali ya maisha.
Kazi yenyewe ni ngumu makorokocho mengi inachosha haina hata maslahi wakuu.
Ukizaliwa familia maskini aise halafu huna mtu wa kukushika mkono kutoboa unatumia nguvu kubwa sana. Nimejaribu kuwaza kuacha kazi ila shida sina msingi tena.
Wakuu kazi yangu ya ualimu duu sijui nifanyeje kwa kweli.
Usiwaige wa marekani bwana,wee angalia maisha yako.nasisitiza tena usiache kaziiiiiiiiiiii kitaa kigumu angalia namna ya kuboresha kipato.Bora shari kwingine sio kwenye ualimu. Kazi ya ualimu unachukiwa dunia nzima. Ingia reddit uone wamarekani wanavyolia na kuomba ushauri namna ya kujitoa kwenye hii kaz
Duu..😀Ukijaribu kujiua unakamatwa😀