Kwa hiyo leo tulikuwa tunawakomoa CAF? Kuna vitu vya kuiga lakini siyo hilo tulilofanya leo.CAF imeshindwa kuendesha mpira mechi ya Yanga na USM Alger yalotikea matukio ya ajabu nikadhani watajifunza ndani ya wiki hio hio yakajirudia mechi ya Wydad Vs Al Ahly tena mbele ya Rais wa CAF
TAHRA WEWE [emoji41]Wanafanya Waarabu sembuse sisi.. Toa upuuzi wako hapa, huoni mbinu ilitusaidia wakati Hali Iko mbaya. Wacha Ball boys Wafanye Mambo zao
Lazima tukomoane....... Caf wenyewe hawana time we UNADHAN ukitia huruma kuna mtu wa kukuhurumia. Mkuu kuna situations zingine bila kujipambania utaumia sana just imagine ile mechi ya yanga kuna chochote yanga walichokipata zaid ya kugongwa. Wale caf hawana tym na mtu kila mtu ajipambanie.....Kwa hiyo leo tulikuwa tunawakomoa CAF? Kuna vitu vya kuiga lakini siyo hilo tulilofanya leo.
kweli ndugu hile mechi yanga walikuwa wanawakilisha kenya😁Tunaongelea timu za taifa braza zinazowakilisha nchi, sasa hao Yanga hata wakifanywa lolote Kwani wanamwakilisha nani zaidi ya kujiwakilisha wenyewe?
Hakukuwa na haja ya kufanya hayo. Tujenge timu imara kwanza. Kama Niger tunawafanyia hivyo, zikija timu za maana si ndiyo tutawapiga risasi kabisa live bila chenga.Lazima tukomoane....... Caf wenyewe hawana time we UNADHAN ukitia huruma kuna mtu wa kukuhurumia. Mkuu kuna situations zingine bila kujipambania utaumia sana just imagine ile mechi ya yanga kuna chochote yanga walichokipata zaid ya kugongwa. Wale caf hawana tym na mtu kila mtu ajipambanie.....
Survival for the fittest
Nalia ngwenda Ni mnafiki mzuri snaUmechukizwa kwa hawa wa kwenu ila ungefanikiwa kuangalia Yanga walivyofanyiwa kule kwa waarabu and the same B.B sijui unasemaje ?.
Sahih kbsa mkuuLazima tukomoane....... Caf wenyewe hawana time we UNADHAN ukitia huruma kuna mtu wa kukuhurumia. Mkuu kuna situations zingine bila kujipambania utaumia sana just imagine ile mechi ya yanga kuna chochote yanga walichokipata zaid ya kugongwa. Wale caf hawana tym na mtu kila mtu ajipambanie.....
Survival for the fittest
Nalia ngwena Ni mnafikiHii nchi wajinga ni wengi sana, kwahiyo tungefanyiwa sisi ungekenua meno tu?
Wabongo nanyi mnapenda kulia lia sanaSidhani Kama ni mbinu sahihi katika mpira wetu wakati tuna kikosi kibovu Cha timu ya Taifa (taifa stars).
Ovyo kabisa.
Mbona Yanga walifanyiwa hivo haukuharibika?Wapumbavuu sana wale, walitaka kuharibu mpira ase.
Sidhani Kama ni mbinu sahihi katika mpira wetu wakati tuna kikosi kibovu Cha timu ya Taifa (taifa stars).
Ovyo kabisa.
Sasa Ulitaka nani afuzu asitie aibu?Ni upumbavu ball boys wanafanya
CAF wapige TFF team mbovu ibebwe na uhuni
Hata tukifuzu ni kutia aibu huko afcon
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa kikosi gani ulicho nacho Cha kwenda kukuwakilisha Afcon??We ndo unaona ni ovyo kwasababu ujui mpira ile ni mbinu ya ushindi tatizo sisi wa tz tunajifanya tunaroho nzuri ndo kitu kinachotufanya soka letu haliendelei mchezo wa mpira umejaa figisu, nawapongeza sanaa Ball boys
Tahra WEWE [emoji41]Nalia ngwena Ni mnafiki