Hivi ni nani alileta huu usafiri wa boda boda Tz?

Hivi ni nani alileta huu usafiri wa boda boda Tz?

Bei ya boda boda unaifahamu lakini?
2.5M- 3M

Hawa Vijana hawana vigezo vya kukopeshwa kiwango hicho cha fedha nahizi taasisi za kifedha.

Hivi ni mojawapo ya vigezo vya kupata mkopo wa biashara CRDB.

1. Uwe na biashara iliyodumu miaka miwili na zaidi.

2. Uwe na leseni ya biashara.

3. Uwe na taarifa ya mapato na matumizi isiyopungua miezi sita

Ila upande wa pikipiki inahitajika leseni na mdhamini unapewa pikipiki unaanza bishara bila kujali unao uzoefu au Hapana.

Kwa vigezo hivyo unafikiri kijana asiye na ajira wala mtaji atakimbilia wapi????
 
Jana Bodaboda kavunja Kwa kuipiga ngumi side mirror ya daladala Kwa makusudi Tu.... Bodaboda wa kariakoo ni bangi Sana Jana nimeshangaa jinsi jamaa walivyokosa ustaarabu
 
Ulitokea Uganda...na kwa Tz bodaboda zilianzia Bukoba na baadae kusambaa tz nzima...
Bukoba kuna muda ziliondoa daladala zote za mjini na kubaki usafiri wa umma kuwa bodaboda tu....
Lakini uzuri bodaboda za Bukoba tofauti na maeneo mengine wanafata sheria zote za uendeshaji...bodaboda karibu wote wana helmet mbili, makoti na bodaboda zao zina miamvuli wakati wa mvua...


Ni tofauti na huku dar ambapo watu wanaendesha boda na vinjuga na sandal uku kavaa vest
Itapendeza hao boda boda wa bukoba ukiwabadilisha jina kutoka bodaboda alafu uwaite ASEKIDO maana wanajituma na wako vizuri zaidi ya hawa bodaboda wa keko.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari za jioni, usiku, mchana na asubuhi. Nimekuwa nikijuiliza sana ni nani alileta huu usafiri wa boda boda, maana nikikumbuka miaka ya nyuma usafiri tegemezi ulikuwa ni dala dala, teksi na gana gana. Ila ghafla zikaibuka maboda boda ambao wamekua kero sana kila sehemu kwa kuendesha piki piki kwa fujo sana. Ni nani haswa alileta huu usafiri na je aliwahi tegemea ungekuja kuwa kero namna hii na ndio kimbilio la failures wote wa maisha?View attachment 2421389
Mm nataka kumjua aliyeanzisha staili ya uendeshaji boda huku mguu mmoja wenye kobazi umening'inizwa chini, maana hawa vijana mwendo wao concorde ikasome?
 
Habari za jioni, usiku, mchana na asubuhi. Nimekuwa nikijuiliza sana ni nani alileta huu usafiri wa boda boda, maana nikikumbuka miaka ya nyuma usafiri tegemezi ulikuwa ni dala dala, teksi na gana gana. Ila ghafla zikaibuka maboda boda ambao wamekua kero sana kila sehemu kwa kuendesha piki piki kwa fujo sana. Ni nani haswa alileta huu usafiri na je aliwahi tegemea ungekuja kuwa kero namna hii na ndio kimbilio la failures wote wa maisha?View attachment 2421389
Tumuulize mwinyi, maana yeye alienda huko akazoa na makunguru akaleta anaweza kumfahamu alioleta na haya mavitu, na akimpata mwambieni zijazo breki ziunganishwe na honi, maana hawa jamaa badala ya kupunguza mwendo wao hua wanapiga honi mpaka uvunguni mwa magari
 
Hivi vyombo vya usafiri ambavyo havina specific task ni matatizo, chunguza vifuatavyo:-

- tipper za mchanga kuanzia hizi ndogo vi_canter mpaka semi_truck, ukiikuta ni ya hesabu ujue mwendo wake sio poa hata manuevability yake barabarani haina tofauti na bodaboda ila ukikuta niya kazi maalum drv ana posho na mshara wala huwezi kukuta ikiwa na ujinga huo,

-angalia daladala za hesabu, muda wote zimepagawa kwa kuwahi muda na kuwahiana wao kwa wao na kupiga trip nyngi ili apate hesabu, mafuta na posho tofauti na hapo kimoja lazima kimiss na ni tofauti na ukikutana na gari ya hivyo yenye task maalum labda private, tours, special hire au mwendokasi na

- bodaboda nao ndio hivyohivyo ni tofauti na zenye kazi maalumu kama za kudeliver bidhaa kama dhl au hawa wa pizza, sigara na bidhaa ndogondogo
JamiiForums2129585548.jpg
 
Boda boda zilianzia Africa magharibi,,
Wakati ule wa Miaka kama kumi na tano iliyopita,
Tanzania walikuwa wapenzi sn wa movies za Nigeria na Ghana.

Nakumbuka hata zamani Bajaj zilikuwa ni za walemavu.

Ghafla wenye utimamu wa viungo ndy fursa .
 
Habari za jioni, usiku, mchana na asubuhi. Nimekuwa nikijuiliza sana ni nani alileta huu usafiri wa boda boda, maana nikikumbuka miaka ya nyuma usafiri tegemezi ulikuwa ni dala dala, teksi na gana gana. Ila ghafla zikaibuka maboda boda ambao wamekua kero sana kila sehemu kwa kuendesha piki piki kwa fujo sana. Ni nani haswa alileta huu usafiri na je aliwahi tegemea ungekuja kuwa kero namna hii na ndio kimbilio la failures wote wa maisha?View attachment 2421389
We fara acha kujiona umeyapatia maisha na kuanza kudharau binadamu wenzako choko wewe
 
Tumuulize mwinyi, maana yeye alienda huko akazoa na makunguru akaleta anaweza kumfahamu alioleta na haya mavitu, na akimpata mwambieni zijazo breki ziunganishwe na honi, maana hawa jamaa badala ya kupunguza mwendo wao hua wanapiga honi mpaka uvunguni mwa magari
Kuna maeneo huko itilima nilipanda bodaboda nakwambia nilikimbizwa mpaka machozi yanatoka nikahisi macho yanatoka, nikamwambia nishushe nikampa chake aende sekunde mbili mbele ikamshinda kaingia kwenye mashamba ya pamba! 😂 Ni janga kwa kweli.
 
Back
Top Bottom