mzushi
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 3,094
- 4,252
Hata akili ya kujiongeza huna si Google tu andika Nchi inayotaabika kwa virus vya Corona Scandinavia halafu rudi humu unipe mrejesho.. Mpaka leo wana visa 29 elfu plus na mavifo kibao na bado hawajafika kwenye peak, mind you Nchi ina watu million 10 tu.. Akili za kuambiwa amesema mwenyewe leo huko Chato kwa hiyo na wewe changanya na za kwako piaHakuna nchi ambayo haitaabiki na corona Ulaya, lkn waliofanya lockdown hawako vizuri zaidi kuliko waliofanya ndicho nilichomaanisha, na kama una ushahidi kwamba Sweden imeathirika zaidi na corona kuliko nchi nyingine za Ulaya, karibu uweke hapa, ...