Hivi ni nani anawadanganya watanzania kuwa lockdown haifanyi kazi? Hata kama tumeigomea, tuache kupotoshana!

The topic is long overdue! No lockdown.
 
Rwanda ni kama mkoa tu. Kwani wagonjwa si walianzia Dar baada ya kuacha kuzuia wanaoingia? Lockdown haikutakiwa iwe ya nchi nzima! Rwanda yote tunaweza kuilisha sisi, ndo iwe Dar?

Kuhamasisha nina sapoti kabisa! Ila na hatua zichukuliwe!
 
The topic is long overdue! No lockdown.
Sawa, take responsibility and do what is needed! Kwani bado hakuna hatua za kuchukua kuzuia usambaaji wa kasi? Kwanza takwimu zenyewe ni siri! Mnasema mnafungua vitu wakati hamkuvifunga.

Unakumbuka Mzee Mwanakijiji aliuliza kama “Bahati nasibu ya Maghufuli italipa”?
 
Chanjo ya corona inaweza kupatikana mwaka mmoja ujao.

Mtihani ni namna ya watu kuishi ndani ya muda wote huo wakati chanjo au dawa ikisubiriwa.

Familia zetu za kiafrika ni zile za nyumba moja kuwa na watu zaidi ya sita wakitumia kwa pamoja vitu kama vyoo na majiko, hiyo lockdown inaweza kuongeza maambukizi badala ya kuyapunguza.
 
Rwanda ni kama mkoa tu. Kwani wagonjwa si walianzia Dar baada ya kuacha kuzuia wanaoingia? Lockdown haikutakiwa iwe ya nchi nzima! Rwanda yote tunaweza kuilisha sisi, ndo iwe Dar?

Kuhamasisha nina sapoti kabisa! Ila na hatua zichukuliwe!
Anyway kuweka record sawa mgonjwa wa kwanza alipatikania Arusha baada ya kutua pale na Rwandaair then wakaja wale waitaliano wa Zanzibar akaja meneja wa Mondi, Mwana FA... nakuendelea. Dar ina zaidi ya 6.5m population haina chakula cha kujilisha inapokea toka nchi nzima na inasambaza mahitaji mengine nchi nzima kama inavyopokea... Kubwa nakuelewa msisitizo wako hata Kama sikubaliani nao. Lockdown ni janga kuliko Covid19 kwa nchi yetu.
 
Hebu acheni ushirikina wenu, nchi gani ambayo watu wake wengi wamekufa sana kwa lockdown kuliko corona.
 
Lockdown kwa Tanzania ingeleta madhara makubwa
Kwa hyo naipa big up serikali kuto weka lockdown

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
 
Dar siyo wote wangehitaji msaada wa chakula mkuu. Na kama ni hivyo, hapo ndo lockdown ingewekwa kwa siku 14 huku contacts zikiwa traced! At the same time, zuia watu kuingia kama hakuna hatua madhubuti za kuwapima nk.
 
Lockdown kwa Tanzania ingeleta madhara makubwa
Kwa hyo naipa big up serikali kuto weka lockdown

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Lockdown kwa Tanzania ama kwa Dar? Pia kumbe unasapoti suala la wachina kuachiwa kuingia na wageni kwa kisingizio cha uchumi ama njaa?
 
#KIMATAIFA:Idadi ya maambukizi ya Corona nchini Kenya imeongezeka na kufikia 912 , huku nchi hiyo ikithibitisha kuwanyima kibali cha kuingia nchini Kenya madereva 51 raia wa Tanzania waliopatikana na Virusi vya Corona. ITV on Twitter
 
#KIMATAIFA:Idadi ya maambukizi ya Corona nchini Kenya imeongezeka na kufikia 912 , huku nchi hiyo ikithibitisha kuwanyima kibali cha kuingia nchini Kenya madereva 51 raia wa Tanzania waliopatikana na Virusi vya Corona. ITV on Twitter
Hivi Kenya wametupita?
 
Siyo lazima watu wote wawekwe lockdown. Kama kungekuwa na kujali, kunakuwepo na lockdown za kimkakati. Essential business kwetu zinaweza kuwa za tofauti ili kuweza kupunguza misongamano nk.

Na huko kwenye nyumba moja zaidi ya sita, ni suala la kuwa makini. Na kuhakikisha gonjwa haliingii? Ukiwa umeshafunga mipaka kwa muda na kuzuia hao watalii hata kwa siku 14, maambukizi yanakuwa siyo ya kasi, na wakati huo wale waliokutana na waathirika wanatafutwa kwa kasi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…