Hivi ni nani legend au mkongwe alie active mpaka leo humu JF?

Hivi ni nani legend au mkongwe alie active mpaka leo humu JF?

Msomalih

Member
Joined
Apr 9, 2023
Posts
70
Reaction score
122
Nimejaribu kucheki baadhi ya members wengi wao tumechelewa sana kujoin JF japokuwa tulikuwa watumiaji tokea kitambo, kitu kinachonifanya nijutie kweli maana JF inaniumbua kama member mpya yani natamani hata kuwa Senior member.😂

Apart from KIGOGO ambaye alijoin 2007 nani mwingine ni mkongwe?

Nataka kumjua mwanamke mkongwe zaidi JF ikiwezekana leo tuwape Heshima zao.🙏💪🇹🇿

7BA9F38A-BB25-44CD-AC05-B053CE85E3E0.png
 
Back
Top Bottom