Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
JF ina watu wake, note my wordsTutawarequestia malejend wote mabluetik ya heshima ili mkiwa mnaunda threads ziwe zinaheshimika 😂😂
Nina kesi na ww alafu ntakujuza tumalizane 😒😒JF ina watu wake, note my words
Sema jf kuna watu wa hovyo sana aseee sema basi tu ignore list zinasaidia sana tu 😒Yan goal nitachase mbaka kieleweke mkuu
LalaDaah nishaelewa unachomaaanisha itabidi tufanye demonstrations 💪😂
Acha tu mkuuu kuna watu wanadanga huku mkuuDaah kwanini tena kaka mkubwa?
Unasoma bado mkuu chuo auDaah hapa kulala ndo hakuna dadaangu nataka nipige daku then Fajr then maandalizi nikasome 😂😂
Kuna ule uzi wa kula tunda kimasihara mkuu, uchafu wote upo pale aisee 🙄Acha tu mkuuu kuna watu wanadanga huku mkuu
Wanaanikana huku huku tena live live
Duuh inasikitisha sana mkuuuu hasa hawa wanawake ni full shida
Nimkuwa mtumiaji since 2021 nimesoma thread 938 lakini uchafu niliokutana nao huko acha tu
Nina data za watu takribani 57 na siri zao ninazo sijui kwann watu hawapendi kumalizana pm 😔🤢🤢🤮
Sawasawa hata mm nipo chuoEeh boss napiga chuo flani ivi