Hivi ni nani legend au mkongwe alie active mpaka leo humu JF?

Hivi ni nani legend au mkongwe alie active mpaka leo humu JF?

Nimejaribu kucheki baadhi ya members wengi wao tumechelewa sana kujoin JF japokuwa tulikuwa watumiaji tokea kitambo, kitu kinachonifanya nijutie kweli maana JF inaniumbua kama member mpya yani natamani hata kuwa Senior member.😂

Apart from KIGOGO ambaye alijoin 2007 nani mwingine ni mkongwe?

Nataka kumjua mwanamke mkongwe zaidi JF ikiwezekana leo tuwape Heshima zao.🙏💪🇹🇿

View attachment 2585921
Kuna faida yoyote zaid ya kale katiki
 
Kuna ule uzi wa kula tunda kimasihara mkuu, uchafu wote upo pale aisee 🙄
Achana na hiyo ni public sana kuna zingine nyingi tu zimo humu

Zimejjficha sana yaani daaah X ana gonorrhea kapewa na Y

Y kamla Z aliyekuwa rafiki wa X

W anaonea watu wivu

T ni singo maza anadanga kwa Q

E ni shogz W ni ke anayefagilia haya machoko


Yaani list ni ndefu mkuuj so sad sijui kwann hizi siri hawazimalizi pm asee 😔
 
Tukiendelea kujenga trust mkuu tutajuana tatizo la JF id fake ko ni ngumu kujuana na kuaminiana na watu chap sema kwakua sisi ni wana hakuna nomaa tupo pmj sana kaka 🤝🤛
Shukrani mi nipo dsm we upo mkoa gani mkuuu
 
Achana na hiyo ni public sana kuna zingine nyingi tu zimo humu

Zimejjficha sana yaani daaah X ana gonorrhea kapewa na Y

Y kamla Z aliyekuwa rafiki wa X

W anaonea watu wivu

T ni singo maza anadanga kwa Q

E ni shogz W ni ke anayefagilia haya machoko


Yaani list ni ndefu mkuuj so sad sijui kwann hizi siri hawazimalizi pm asee 😔
Watu kama wanaambukizana gono basi hata ngwengwe wataambukizana! 🤣
 
Watu kama wanaambukizana gono basi hata ngwengwe wataambukizana! 🤣
Acha tu dadaangu kuna udangaji na uzinzi wa 8g humu sema sijui kwann wasimalizane vitu vya pm daaah noma sana aseee

Hizi ndoa bizi na mahusiano webyasikie tu so sad 😢
 
Sasa siku hizi wogawoga tu kipindi hiyo zinamwagwa fact tupu hapa mpk unashangaa.
Haiwezi kurudi ile JF.
Modes inabidi wafanye jambo kurudisha member wajaribu kutuma alerts hata kwenye mail zao kama vile unavokuwa unaumda accnt
 
Back
Top Bottom