Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
Wajuzi hapoI mean no malice to nobody
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wajuzi hapoI mean no malice to nobody
Kuna faida yoyote zaid ya kale katikiNimejaribu kucheki baadhi ya members wengi wao tumechelewa sana kujoin JF japokuwa tulikuwa watumiaji tokea kitambo, kitu kinachonifanya nijutie kweli maana JF inaniumbua kama member mpya yani natamani hata kuwa Senior member.😂
Apart from KIGOGO ambaye alijoin 2007 nani mwingine ni mkongwe?
Nataka kumjua mwanamke mkongwe zaidi JF ikiwezekana leo tuwape Heshima zao.🙏💪🇹🇿
View attachment 2585921
Achana na hiyo ni public sana kuna zingine nyingi tu zimo humuKuna ule uzi wa kula tunda kimasihara mkuu, uchafu wote upo pale aisee 🙄
Blue tick ni processTupo japo hatupewi blue tick wala heko.
Tufike mahali tuseme JF ina wenyewe.
@maxeence mello, happy Easter.
Shukrani mi nipo dsm we upo mkoa gani mkuuuTukiendelea kujenga trust mkuu tutajuana tatizo la JF id fake ko ni ngumu kujuana na kuaminiana na watu chap sema kwakua sisi ni wana hakuna nomaa tupo pmj sana kaka 🤝🤛
Sijui wamepotelea wapi hawa jamaa, wengi kweli wamepotea,Ko saizi kama kilinge kimepoa ivi mzee 😂
😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁Sijui wamepotelea wapi hawa jamaa, wengi kweli wamepotea,
Kulikua hamna upuuzi wa mke wangu kaniacha naomba ushauri humu.😅😅😅
Ni nondo juu ya nondo mpk kunakucha
Watu kama wanaambukizana gono basi hata ngwengwe wataambukizana! 🤣Achana na hiyo ni public sana kuna zingine nyingi tu zimo humu
Zimejjficha sana yaani daaah X ana gonorrhea kapewa na Y
Y kamla Z aliyekuwa rafiki wa X
W anaonea watu wivu
T ni singo maza anadanga kwa Q
E ni shogz W ni ke anayefagilia haya machoko
Yaani list ni ndefu mkuuj so sad sijui kwann hizi siri hawazimalizi pm asee 😔
Sasa siku hizi wogawoga tu kipindi hiyo zinamwagwa fact tupu hapa mpk unashangaa.Kama vipi tuliendeleze vine lao mzee baba tukiwashe upyaa 😂😂😂
Acha tu dadaangu kuna udangaji na uzinzi wa 8g humu sema sijui kwann wasimalizane vitu vya pm daaah noma sana aseeeWatu kama wanaambukizana gono basi hata ngwengwe wataambukizana! 🤣
I think so.Modes inabidi wafanye jambo kurudisha member wajaribu kutuma alerts hata kwenye mail zao kama vile unavokuwa unaumda accnt
Sasa tatizo ukute walipitiwa na corona😁,Sema tutairudisha tuu io JF itabidi tuunde uzi wa kuhamasisha 🤝😂