Hivi ni nani legend au mkongwe alie active mpaka leo humu JF?

Hivi ni nani legend au mkongwe alie active mpaka leo humu JF?

Wakongwe tulishaondoka baada ya kizazi cha bongo flavour kuvamia hili jukwaa. Hawa watoto mchicha wali nazi topic zao za kiwaki sana, just imagine dogo anaomba ushauri hapo

"YAANI HAPA NILIPO NIMECHANGANYIKIWA, LEO MAMA AMEKATAA KUTUPIKIA WALI NYAMA.. USHAURI PLEASE, SERIOUS JAMANI NAOMBA USHAURI
 
Wakongwe tulishaondoka baada ya kizazi cha bongo flavour kuvamia hili jukwaa. Hawa watoto mchicha wali nazi topic zao za kiwaki sana, just imagine dogo anaomba ushauri hapo

"YAANI HAPA NILIPO NIMECHANGANYIKIWA, LEO MAMA AMEKATAA KUTUPIKIA WALI NYAMA.. USHAURI PLEASE, SERIOUS JAMANI NAOMBA USHAURI
Daah JF imevamiwa sasa iyo thread sio ata ya kusomwa na wakongwe yan very poor daah
 
Acha tu mkuuu kuna watu wanadanga huku mkuu

Wanaanikana huku huku tena live live

Duuh inasikitisha sana mkuuuu hasa hawa wanawake ni full shida

Nimkuwa mtumiaji since 2021 nimesoma thread 938 lakini uchafu niliokutana nao huko acha tu

Nina data za watu takribani 57 na siri zao ninazo sijui kwann watu hawapendi kumalizana pm [emoji17][emoji1785][emoji1785][emoji2961]
Wakimalizana Pm attention n more mtawapea wapi?!
 
Wakimalizana Pm attention n more mtawapea wapi?!
Daaah sielewi asee kwann wasiwe confidential na wa siri inasikitisha sana kuanikana waziwazi hivi

Watu tunajua kuweka records zetu mbona kuna wanawake wazuri wametulia kama Nakubusu hana kero na mtu, hana drama, hatukani, ni mpole

Wao wanadhani kuanikana ndo itawapa attention ila inawashushia hadhi yao na utu wao kusema ukweli its so sad
 
Daaah sielewi asee kwann wasiwe confidential na wa siri inasikitisha sana kuanikana waziwazi hivi

Watu tunajua kuweka records zetu mbona kuna wanawake wazuri wametulia kama Nakubusu hana kero na mtu, hana drama, hatukani, ni mpole

Wao wanadhani kuanikana ndo itawapa attention ila inawashushia hadhi yao na utu wao kusema ukweli its so sad
Mental health, watu wanastress huko nje ili kujifurahisha ss wanajikuta wanafanya mambo ya watt
 
Menyal health, watu wanastress huko nje ili kujifurahisha ss wanajikuta wanafanya mambo ya watt
Ni kweli inabidi wale ignore zangu tu sasa hayo ma drama yao wabaki nayo wenyewe,,,,,,,
 
Back
Top Bottom