Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole yao!Acha tu dadaangu kuna udangaji na uzinzi wa 8g humu sema sijui kwann wasimalizane vitu vya pm daaah noma sana aseee
Hizi ndoa bizi na mahusiano webyasikie tu so sad š¢
Daah JF imevamiwa sasa iyo thread sio ata ya kusomwa na wakongwe yan very poor daahWakongwe tulishaondoka baada ya kizazi cha bongo flavour kuvamia hili jukwaa. Hawa watoto mchicha wali nazi topic zao za kiwaki sana, just imagine dogo anaomba ushauri hapo
"YAANI HAPA NILIPO NIMECHANGANYIKIWA, LEO MAMA AMEKATAA KUTUPIKIA WALI NYAMA.. USHAURI PLEASE, SERIOUS JAMANI NAOMBA USHAURI
Wakimalizana Pm attention n more mtawapea wapi?!Acha tu mkuuu kuna watu wanadanga huku mkuu
Wanaanikana huku huku tena live live
Duuh inasikitisha sana mkuuuu hasa hawa wanawake ni full shida
Nimkuwa mtumiaji since 2021 nimesoma thread 938 lakini uchafu niliokutana nao huko acha tu
Nina data za watu takribani 57 na siri zao ninazo sijui kwann watu hawapendi kumalizana pm [emoji17][emoji1785][emoji1785][emoji2961]
Daaah sielewi asee kwann wasiwe confidential na wa siri inasikitisha sana kuanikana waziwazi hiviWakimalizana Pm attention n more mtawapea wapi?!
Mental health, watu wanastress huko nje ili kujifurahisha ss wanajikuta wanafanya mambo ya wattDaaah sielewi asee kwann wasiwe confidential na wa siri inasikitisha sana kuanikana waziwazi hivi
Watu tunajua kuweka records zetu mbona kuna wanawake wazuri wametulia kama Nakubusu hana kero na mtu, hana drama, hatukani, ni mpole
Wao wanadhani kuanikana ndo itawapa attention ila inawashushia hadhi yao na utu wao kusema ukweli its so sad
Ni kweli inabidi wale ignore zangu tu sasa hayo ma drama yao wabaki nayo wenyewe,,,,,,,Menyal health, watu wanastress huko nje ili kujifurahisha ss wanajikuta wanafanya mambo ya watt
Wapo wengi bwanaNadhan Mimi ndie munipe heshima maana nimejiunga jf nkiwa na umri mdogo sana kuliko wote ..
Nimejiunga mwaka 2015 nikiwa na miaka 16 pekee
Nyani Ngabu nayy asemaje sasa š¤£š¤£Nadhan Mimi ndie munipe heshima maana nimejiunga jf nkiwa na umri mdogo sana kuliko wote ..
Nimejiunga mwaka 2015 nikiwa na miaka 16 pekee
Wengine watakuwa na 25 huku mkuu hutotisha ššMiaka 10 mbele mtanisoma kama legend humu..
Ila nasikitika sitakuwepo