Ujinsia unatoka wapi Tena?Mimi hapa Mwanamke mkongwe
Naskia jamaa aliwaomba mods waandike 2018 ili asionekane ana miaka mingi, c unajua tena wabongo kupenda kujua miaka ya watu.Jamaa unajipa maujiko naona kabisa 2018 au ndo account ilichelewa ila utumiaji ulianzaga mapema sana π
Yah asilimia kubwa walikuwa wanaifatilia, then baada ya muda fulani ndipo wakajiungaJF tulikuwa tunafatilia kwa mbali ila kujiubga 2016