Zeddicus Zu'l Zorander
JF-Expert Member
- Aug 25, 2011
- 804
- 951
Nimejaribu kuangalia wanaotajwa, kumbe na mimi mkongwe sio haba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimekuelewa vizuri sana mkuu 💪🔥Kwa wanaume mmoja wapo ni Mshana Jr na upande wa kike ni huyu Nyamizi
Hao wana miaka 17+ jukwaani.
Kuhusu kua Senior au Expert Member cha kufanya ongeza idadi ya Post, haihusiani na mda wa kujiunga jukwaani. Kuna kama wakina Tumia akili wana zaidi ya miaka 8 bado wana ya status ya "Member" na kuna wajuzi juzi ambao ni washakua na Status ya "Expert Member" kama Kulwa Jilala mwenye less than a year jukwani.
Iko hivi
0-99 Posts, New Member up to Member.
100-199 Posts, Senior Member.
Uki-hit 200 post tayari unakua mzoefu, Expert Member.
ushahidi haujakamilikaNimeijua Jf muda mrefu lakini sikuwa nimejiunga, nilikua nasoma tu posts
kuna huyu Mzee MwanakijijiDaah nimemcheki chief mkwawa kweli ni legend bhn ingependeza atie baraka zake kwenye huu uzi 🙏💪😂
We nakujua tuko humu kitamboHapa wenye ID zaidi ya moja ushahidi unaondoka
Ila Nina 16yrs JF
Hahahah enzi za rara mokoWe nakujua tuko humu kitambo
kuna mtu nahisi ndio lara1Hahahah enzi za rara moko
Ewaaa,hahahahaHahahah enzi za rara moko
Alaa umenikumbusha🤝Le mutuz from NY city sauti ya umeme na mkewe toka knaitwa jambo forum
Huyo mwamba alikuepo mitandaoni kitambo,karudi bongo kaaga hapahapa.Alaa umenikumbusha🤝
Namkumbuka toka Enzi za audi black left hand alitoka nayo mamtoni..miaka ilee....sijui nini kilimrudisha bongo daah(R.I.P)Huyo mwamba alikuepo mitandaoni kitambo,karudi bongo kaaga hapahapa.
Kaenda kufa tu huko.
Rip