Hivi ni nani legend au mkongwe alie active mpaka leo humu JF?

Hivi ni nani legend au mkongwe alie active mpaka leo humu JF?

Wakongwe tulishaondoka baada ya kizazi cha bongo flavour kuvamia hili jukwaa. Hawa watoto mchicha wali nazi topic zao za kiwaki sana, just imagine dogo anaomba ushauri hapo

"YAANI HAPA NILIPO NIMECHANGANYIKIWA, LEO MAMA AMEKATAA KUTUPIKIA WALI NYAMA.. USHAURI PLEASE, SERIOUS JAMANI NAOMBA USHAURI
Limekuwa sio jukwaa la maana tena.
 
Nimejaribu kucheki baadhi ya members wengi wao tumechelewa sana kujoin JF japokuwa tulikuwa watumiaji tokea kitambo, kitu kinachonifanya nijutie kweli maana JF inaniumbua kama member mpya yani natamani hata kuwa Senior member.😂

Apart from KIGOGO ambaye alijoin 2007 nani mwingine ni mkongwe?

Nataka kumjua mwanamke mkongwe zaidi JF ikiwezekana leo tuwape Heshima zao.🙏💪🇹🇿

View attachment 2585921
Labda mimi?
 
Mzizi mkavu
Big Sam
Zitto junior
Infantry souja
Big memes
Chato 1
Wa kupuliza
James bond
Baba mama
Ras jeff kapita
Msangi
Nasa
Masanza 1
Jeshi
Magonjwa mtambuka
Bak
Lala salama
Paschal Mayalla
Kijukuu
Meko
Dalali
Ajae anayefuata

List ni ndefu..

[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji851]

Hivi huyu infantry soldier ndo alikua anatishia na unajua mi ni nani au nimemfananisha [emoji28]
 
Back
Top Bottom