Simpleboylife
JF-Expert Member
- May 20, 2021
- 634
- 1,247
Nilianza kutumia JF 2011 baada ya kuwa directed na search engine za google kupitia platform ya FREE BASIC., Kwa bahati mbaya sana sikuwa na hitaji la kufungua akaunti kipindi hicho
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
RegendaryKoh koh koh..... !
I remember. Kipindi hiko hujabadilisha dini na kuwa mtu wa swala 5Nilibadili account niliyoanza nayo.
Karibu sana Mkongwe... 2006 nipo... au basi [emoji2960][emoji23]Koh koh koh..... !
Dah hongera sana mkongwe, 2007 halafu nawaona mpo wengi kweli, huo mwaka kulikua na nini?Hata mimi nimechelewa sana kujiunga JF[emoji1787]
Duh hongera mkongwe, 2008 nipo.... au basi [emoji1787][emoji1787][emoji119]Alikuepo Asha D Abinallah
2013 ulikua mdogo sana, sasa hivi una miaka miaka mingapi dogo.Daah me nimefatilia since 2013 nikiwa mdogo sana kweli likompyuta sema nimejiunga mwaka huu
Maelezo meeengi ya huko 2007 hayatuhusu.Nilianza kabla haijawa Jamii Forums, nilianza na Jambo Forums 2007.
Kulikuwa na vuguvugu la uhuru wa kifikra.Dah hongera sana mkongwe, 2007 halafu nawaona mpo wengi kweli, huo mwaka kulikua na nini?
Umepotea sana mkuuKoh koh koh..... !
Msomali wa chuga.Hivi mods wa JF huwa nao wana account au niaje ?!
Nipo Kiongozi....Umepotea sana mkuu
Wa mlongo wangu upo?