Hivi ni nani legend au mkongwe alie active mpaka leo humu JF?

Hivi ni nani legend au mkongwe alie active mpaka leo humu JF?

Nimejaribu kucheki baadhi ya members wengi wao tumechelewa sana kujoin JF japokuwa tulikuwa watumiaji tokea kitambo, kitu kinachonifanya nijutie kweli maana JF inaniumbua kama member mpya yani natamani hata kuwa Senior member.😂

Apart from KIGOGO ambaye alijoin 2007 nani mwingine ni mkongwe?

Nataka kumjua mwanamke mkongwe zaidi JF ikiwezekana leo tuwape Heshima zao.🙏💪🇹🇿

View attachment 2585921
Mzizi mkavu
Big Sam
Zitto junior
Infantry souja
Big memes
Chato 1
Wa kupuliza
James bond
Baba mama
Ras jeff kapita
Msangi
Nasa
Masanza 1
Jeshi
Magonjwa mtambuka
Bak
Lala salama
Paschal Mayalla
Kijukuu
Meko
Dalali
Ajae anayefuata

List ni ndefu..

😂😂🤣🤣🤓
 
Wa mlongo wangu upo?
Mie hata niwe kumhalule jf siachi kuingia [emoji23][emoji23][emoji23]
Nipoo mlongo, JF ni kijiwe pendwaa,
Nikiwa Mpitimbi natuliza zangu JF.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Been there since it was started as Jambo forums,
Watching it passing through various phases and changes,
Welcoming new members and IDs, some became popular in their own way,
Some were famous and became even more legendary afterward,
and some reached JF celebrity status behind keyboard,
Others, never seen again with their IDs simply because they disappeared,
I am just here,all long.

View attachment 2586363





Joined 2009
Hongera sana mkongwe,
Jf ilifaa iwape ki bluetick
 
Kulikuwa na vuguvugu la uhuru wa kifikra.

Tulikuwa tunarafuta mahala pa kushare our views bila kuathiri uhai wetu
Ooh mie nakumbuka niliingia 2012 nikakuta mambo siyaelewi kabisa watu wanachat kwa kujuana, mada za kisiasa ndio usiseme nikatoka ndukiiiii,

Nikarudi tena 2014 ila sikua nachangia kabisa zaidi ya kusoma kila kitu, nilikua naogopa matusi na mashushu ya wakulungwa,
nashangaa mwaka jana mwishoni ndio nikaanza kujichanganya.
 
Nimejaribu kucheki baadhi ya members wengi wao tumechelewa sana kujoin JF japokuwa tulikuwa watumiaji tokea kitambo, kitu kinachonifanya nijutie kweli maana JF inaniumbua kama member mpya yani natamani hata kuwa Senior member.😂

Apart from KIGOGO ambaye alijoin 2007 nani mwingine ni mkongwe?

Nataka kumjua mwanamke mkongwe zaidi JF ikiwezekana leo tuwape Heshima zao.🙏💪🇹🇿

View attachment 2585921
Mimi Nimeanza kuisoma 2010 na 2017 ndio nikajiunga.
 
Back
Top Bottom