ππ Jf ya sikuizi cyo Kama ya 2013 huko,saivi vichaa ndio wamejaa humu.Daaah sielewi asee kwann wasiwe confidential na wa siri inasikitisha sana kuanikana waziwazi hivi
Watu tunajua kuweka records zetu mbona kuna wanawake wazuri wametulia kama Nakubusu hana kero na mtu, hana drama, hatukani, ni mpole
Wao wanadhani kuanikana ndo itawapa attention ila inawashushia hadhi yao na utu wao kusema ukweli its so sad
πͺπͺπͺπͺπMy First JF ID nilikuwa nayo 2008, nikalambwa Life ban 2010.
Nikatengeneza nyingine 2010, nikalmbwa Life ban 2015 kwa purukushani za kampeni za Lowassa.
Nikapumzika kutumia JF, nikawa mgeni tu. Nikaja kuitengeneza hii hapo majuzi.
Unaweza kuwa mpya lakini Mkongwe.
Naona wamejibu wanaumeNdio mkuu namtaka vibaya mno π₯°
Alikuepo Asha D AbinallahNa wao watakuwa wanamtaka kama mimi labda π
Alienda wapi?Alikuepo Asha D Abinallah
Sema kuna watu wanajibu ovyo kinoma
Tupo MkuuNimejaribu kucheki baadhi ya members wengi wao tumechelewa sana kujoin JF japokuwa tulikuwa watumiaji tokea kitambo, kitu kinachonifanya nijutie kweli maana JF inaniumbua kama member mpya yani natamani hata kuwa Senior member.π
Apart from KIGOGO ambaye alijoin 2007 nani mwingine ni mkongwe?
Nataka kumjua mwanamke mkongwe zaidi JF ikiwezekana leo tuwape Heshima zao.ππͺπΉπΏ
View attachment 2585921
Hata mimi nimechelewa sana kujiunga JFπ€£Nimejaribu kucheki baadhi ya members wengi wao tumechelewa sana kujoin JF japokuwa tulikuwa watumiaji tokea kitambo, kitu kinachonifanya nijutie kweli maana JF inaniumbua kama member mpya yani natamani hata kuwa Senior member.π
Apart from KIGOGO ambaye alijoin 2007 nani mwingine ni mkongwe?
Nataka kumjua mwanamke mkongwe zaidi JF ikiwezekana leo tuwape Heshima zao.ππͺπΉπΏ
View attachment 2585921
Watakuja kujibu hapa kama nao wana uhuru kama sisi members au laπHivi mods wa JF huwa nao wana account au niaje ?!
Bado kabisa mzee wangukumbe bado kijana wewe sawa na mwanangu wa kiume kiumri. Nilifikiri wewe ni Mzee kama Sisi wenye umri wa miaka 60.