Huyu mtu wa ajabu Sana, alikoibukia hakujulikani, hajatabiriwa na kitabu chochote kilichotangulia, amekuja amevuruga yaliyoamdikwa akachanganya na yake, kabadilisha historia ya Ibrahim na wanawe wawili ile nafasi ya isaka kaibadilisha akaweka Ismail, kamwita mjusi KAFIRI sijui alimkosea nini, kamwita nguruwe kiumbe wa Mungu haramu sijui walikosana wapiKafiri ajawahi kumpenda muhammad na uisilawam na waisilamu kwa ujumla
Endeleeni kuoana ndugu hamna shida mkuu,sababu naona unatokwa mapovu hatariUnatuletea ujinga wako hapa wewe ndugu zako wa miaka 300 iliopita unawafahamu? huyo ulio muoa unajuaje kama sio mtoto wa shangazi yako wa miaka 400 iliopita?
Lete andiko linalo kataza kumuoa mtoto wa shangazi na mtoto wa baba mdogo na mkubwa,pia utambue hiyo biblia ilikuja mwambao huu wa afirika mashariki ikiwa imeandikwa kwa kingereza alitolewa huko na kuandikwa kwa kiswahili maneno mengi yaliomo humo robo 3 yametokana na qur,aan unayo ichukia
Basi kamkande dada yako kama alivyofanya huyo babu yako.Acha ujinga wewe binadamu asili yao 1 tu hata huyo bibi yako na babu yako si ajabu walioana wa baba mkubwa na mdogo miaka 100 alio pita
Sina uhakika maana sikuwepo.Huyo babu yako na bibi yako wa 50 unauhakika gani kama hawa kuwa mtoto wa baba mkubwa na mdogo?
Wewe huna akili,yaani undugu unaushikiria kwa mgao wa mashamba na mbuzi za marehemu!!!!Mtoto wa baba mdogo mkubwa shangazi mjomba sio ndugu hivyo kuona ni sawa tu ukitaka kuamini kuwa sio ndugu watu awa awarithiani kwa hali yoyote mfano babako mdogo akifa au shangazi yako watoto wake wanapo rithi mali zake wewe uwesogea sababu wewe uhusiki sio ndugu yao,hoja dhaifu kumuita mtoto wa shangazi yako ndugu ni ufahamu mdogo sana,kama kweli ni ndugu basi tusioane sababu binadamu asili yetu ni moja
Hao wamekosa adabu tu hakuna la ziada la kuwaambia.Binamu wanaoana.....
Watoto wa baba mkubwa na mdogo wanaoana. Zanzibar limetamalaki sana hili.
Yote hayo mimi yamenishinda; yaani nikamuoe mtoto wa baba mkubwa/mdogo? Damu yangu? Nimeshindwa, nashukuru imani haijasema kwamba hilo ni lazima. Ningefukuzwa.
Hivi hekima haswa iliyojificha nyuma ya hili ni nini? Au nini historia ya hili?
Karibuni mnielimishe.
Hata mbwa ni ndugu pia at one point. Ila utimamu wetu umetupa ufahamu wa kiwango cha ukaribu au umbali wa unasaba tunaoweza kujamiiana nao.Acha ujinga wewe watu wote asili yao ni 1 tu ndio maana tukaitwa wana waadamu,mfano wewe ni muha shangazi yako kaolewa mtwala kwa makonde kazaa watoto je hao watoto ni ndugu zako wa damu?
Huyo anaweza muweka mbwa maana mpaka akute sehemu rasmi imekataza mbwa asiwekwe na binaadam.Hata mbwa ni ndugu pia at one point. Ila utimamu wetu umetupa ufahamu wa kiwango cha ukaribu au umbali wa unasaba tunaoweza kujamiiana nao.
AaamiinAmetaka kutanguliza akili yake bila kuiacha huru na kuisalimisha kwenye maandiko ya kisheria, suala la bangi limejengwa juu ya msingi wa vyote vyenye kulewesha, Qur'an haikutaja mufradaat kwenye kila ilichotaja kama haramu, bali kuna misingi na kanuni.
Allah atuongoze sote Baljurashi
Wakati huo hapa kuwawepo na options. Maana watu walikuwa ni hao hao wa familia moja. Ili mu - multiply lazima muone ndugu. Baadaye watu walipo ongezeko ikawa ni haramu mtu kumuoa jamaa yake.Watoto wa Adam walioona ndugu pia , hii imekaaje ?
Wakati huo hapa kuwawepo na options. Maana watu walikuwa ni hao hao wa familia moja. Ili mu - multiply lazima muone ndugu. Baadaye watu walipo ongezeko ikawa ni haramu mtu kumuoa jamaa yake.
Pole sana mkuu.Esau alioa mtoto wa baba yake mkubwa Ishmael,lakini wewe unaona ajabu!Kama tatizo halipo hapo basi hakuna tatizo hata ukiamua kumkanda dada yako.si tunatafuta tatizo mkuu[emoji2][emoji2].
Kama limekataza kumvua chupi mke wa jama yako au rafiki yako,unatafuta palipokatazwa mtoto wa baba mkubwa!!![emoji2]
Esau sio nabii wala mtume.Pole sana mkuu.Esau alioa mtoto wa baba yake mkubwa Ishmael,lakini wewe unaona ajabu!
Mwanzo 28:8-9
8 Esau akaona ya kuwa binti za Kanaani hawakumpendeza Isaka, baba yake.
9 Basi Esau akaenda kwa Ishmaeli akamtwaa Mahalathi, binti Ishmaeli mwana wa Ibrahimu, ndugu wa Nebayothi, kuwa mkewe pamoja na wakeze aliokuwa nao.
Mleta mada hakuna sehemu ameweka neno "Nabii",wewe umelitoa wapi?.Esau sio nabii wala mtume.
Ktk biblia sio kila unachokiona ni maagizo unatakiwa ufate au kuiga kama mfano,kuna historia za watu ambazo ni za hovyo pia.
Hiyo ndio tofauti ya ukristo na uislam kaka,sisi sio kumbi kumbi.
UkAsome mathayo 19:8-12 unaona kabisa ndoa zilikuwepo,na hasa 12 unaona kabisa kwamba swala la kutooa hata kwa hawa unaoita mizizi ya ukristo liliposimamia.ni wakfu maalumu wa sadaka kiutumishi.Mleta mada hakuna sehemu ameweka neno "Nabii",wewe umelitoa wapi?.
UKRISTO NA NDOA NI KITU KISICHOKUWEPO!Hakuna kiongozi yoyote ndani ya agano jimpya ambalo ndoyo mzizi wa ukristo aliyeoa!.Sasa sheria na kanuni za ndoa wewe mkristo utazipatia wapi?.
Kwa hiyo unakubali kuwa katika ukristo hakuna mambo ya kuoana bali yapo kwa wayahudi na uyahudi?Yaani agano la kale.UkAsome mathayo 19:8-12 unaona kabisa ndoa zilikuwepo,na hasa 12 unaona kabisa kwamba swala la kutooa hata kwa hawa unaoita mizizi ya ukristo liliposimamia.ni wakfu maalumu wa sadaka kiutumishi.
Hiyo ni sawa na anayeamua kufunga asile siku mbili au 3 ili chakula husika akielekeze sehemu maalumu.