Wengine kwa kufanya hivyo hutaka kulinda kitu flani ndani ya famili mathalani urithi wa mali, uchawi au siri flani. Pia waweza kuwa mkakati wa kulinda nasaba flani.Binamu wanaoana.....
Watoto wa baba mkubwa na mdogo wanaoana......Zanzibar limetamalaki sana hili.
Yote hayo mi yamenishinda; yaani nikamuoe mtoto wa baba mkubwa/mdogo?!!!! Damu yangu?!!!! Nimeshindwa, nashukuru imani haijasema kwamba hilo ni lazima......ningefukuzwa.
Hivi hekma haswa iliyojificha nyuma ya hili ni nini?!!! Au nini historia ya hili?!!!
Karibuni mnielimishe.
Ok, sasa na hao Zanzibar ambao wengi ni waislamu, chimbuko la mila na dini ni waarabu, hivyo wakifanya hiyo sioni ajabu.....Mbona hii ipo sana kwa warabu
Uislamu hauhusini n mila za kiarabuOk, sasa na hao Zanzibar ambao wengi ni waislamu, chimbuko la mila na dini ni waarabu, hivyo wakifanya hiyo sioni ajabu.....
Allah said in the Quran.Uislamu hauhusini n mila za kiarabu
Umenukuu sehemu gani sijaiona na mimi naweza kunukuu mahali kulipopinga maana halo sijaona sura yoyote katika quran wala aya yoyote uliotoa ila maelezoRafiki, nimenukuu quran, sasa wewe unapinga nini?
Umenukuu sehemu gani sijaiona na mimi naweza kunukuu mahali kulipopinga maana halo sijaona sura yoyote katika quran wala aya yoyote uliotoa ila maelezo
Wewe kafiri, unajifanya unatetea mila za asili na kuwashutumu waarabu, kisha ulivyo huna akili katika post za mbele ukawa unapinga polygamy, ndoa "za utotoni" na "kukandamiza" wanawake na kumshutumu Mtume wetu Muhammad (Swala na Salamu ziwe juu yake) kwa hayo. Katika hizo mila zenu za asili kabla ya muarabu mlikuwa hakuna ndoa za "utotoni"? Wewe bibi yako aliolewa na miaka 30? Ndoa za wake wengi si zipo katika hizo mila zenu za asili tena wake wasio na idadi. Na katika hizo mila za asili wanawake wenu walipewa haki sawa na wanaume?Mwarabu alileta mila za hovyo sana Bongo. Wafuasi wa dini kwao ni kawaida jamaa kumuoa mtoto wa shangazi, mjomba, baba mkubwa, baba mdogo, na watoto wa mama mkubwa na mama mdogo. Hii ni kinyume kabisa na mila za asili kabla ya ujio wa wavurugaji hawa wa mila kutoka Uarabuni, ambao walikuja kuuza watu kama kuku huku wakilazimisha watu kufuata dini yao, ambayo kimsingi ni mila zao. Kutokana na hilo, unakuta magonjwa ya kurithi ya kigenetiki yanakuwa mengi miongoni mwao.
kwanz kabisa mkuu nimepitia hiyo makala unayosema ni nukuu ya Quran sio Quran bali wamenukuu baadhi ya Aya..Islam a way of life - QURAN FOR HUMANITY
Islam is not just a religion but it is a complete way of life, when we say a way life, everything we do in the life falls within boundary of Islam. This is a very broad definition and indeed it is. As Muslims turn adult and grow, they practice Islamic guidance in every activity ofquranforhumanity.org
Akikuonyesha najiua kabisaaHUO NI UONGO NA UPOTOSHAJI!
Ndoa za kiislam hufungwa kwa misingi ya kiislam na ipo sura mahsusi kwenye Quran (Sura An - Nisaa) inayoelezea taratibu zote hizo nk.
Labda nikumegee kidogo Aya ya 23
(Sura An- Nisaa - 23)
"Mmeharimishiwa kuoa mama zenu, na binti zenu, na dada zenu, na shangazi zenu, na
khaalati zenu, na binti wa ndugu mume, na binti wa dada, na mama zenu walio
kunyonyesheni, na dada zenu kwa kunyonya, na mama wa wake zenu, na watoto wenu
wa kambo walio katika ulinzi wenu walio zaliwa na wake zenu mlio waingilia.
(Pia mmeharimishwa) wake wa watoto wenu walio toka katika migongo yenu. Na kuwaoa pamoja dada wawili isipo kuwa yale yaliyo kwisha pita. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusamehe Mwenye
kurehemu"
NAOMBA NA WEWE UNIWEKEE KIFUNGU CHOCHOTE KWENYE BIBLIA KINACHO ONESHA NANI HURUHUSIWI KUOA
Ata biblia pia inaruhusu ndoa za udogoni na sheria pia inaruhusu ndoa za udogoni...biblia pia inaruhusu kufunika kichwa...biblia pia inaruhusu ndoa za wake wengi...tena bora quran iliyoweka condition na ni ngumu kama huwez kuzifuata kuoa wake wengiWewe kafiri, unajifanya unatetea mila za asili na kuwashutumu waarabu, kisha ulivyo huna akili katika post za mbele ukawa unapinga polygamy, ndoa "za utotoni" na "kukandamiza" wanawake na kumshutumu Mtume wetu Muhammad (Rehma na Amani ziwe juu yake) kwa hayo. Katika hizo mila zenu za asili kabla ya muarabu mlikuwa hakuna ndoa za "utotoni"? Wewe bibi yako aliolewa na miaka 30? Ndoa za wake wengi si zipo katika hizo mila zenu za asili tena wake wasio na idadi. Na katika hizo mila za asili wanawake wenu walipewa haki sawa na wanaume?
Uislam umeweka utaratibu mzuri zaidi katika hayo kuliko hizo "mila za asili". Na bado haujatoka katika maumbile ya asili.
Zipo nimeonyesha mimi tayari soma post #23Akikuonyesha najiua kabisaa
Watapita kama hawaoioni.Mkuu avogadro sometimes kama Hujui sheria inabidi ukae tu kimya usijiabishe mbele za watu...
Kuhusu Ndoa ya Watoto
Sheria ya Tanzania iliruhusu Mwanaume kumuoa mwanamke mwenye miaka 13 imebadilishwa nafikiri hata miaka 10 haifiki ikaongeza umri mpaka sasa ni miaka 15 Ruksa kuolewa au 14 kwa pendekezo la wazazi...
Soma sheria ya Ndoa 1971 kifungu cha 13(1) na (2)
Na kuhusu polygamy
Nakurudisha kwenye sheria hiyo hiyo ya ndoa sio kosa nenda kasome sheria hiyo kifungu cha 9 (3) na kifungu cha 10,Kinaeleza kuhusu aina za Ndoa Tanzania zimesema ni Monogamous na Polygamous... Na zimeelezea vizur kabisa nini maana zake na zinafungwaje nafikiri Go and read that..
Hata hivyo biblia yako pia iliruhusu ndoa hizo ukitaka ushahidi nitakuleta hapa nakuelimisha kwanza kuhus sheria
Kugandamiza haki za wanawake
Umesema kugandamiza haki na ukasema ikiwemo mojawapo kuwafunika manguo,kuwakataza kushirki katika utawala....
Sasa hapa siendi kwenye sheria ntaenda kwe ye bible yako..
Bible ndo kitabu cha kwanza kumgandamiza mwanamke mwanamke hakuhesabiwa kitu katika biblia..
Kuhusu kutawala umetoa hasira kabisa kwa waislamu..ngoja bhasi nilete ushaihidi kwamba nyote mko sawa...
- Unafahamu kuwa watoto wa Yakobo wako 13 mmoja ni mwanamke lakini kwakuwa tu ni mwanamke Hakuhesabiwa na unasikia wanakuambia kuna watoto 12 wa yakobo? Na makabila 12 ya israel je hilo kabila lake la huyo mwanamke kwanini halitajwi...kwa sababu biblia imekuwa kandamizi sana kuhusu mwanamke...
- Hakuna mtume wala nabii wa Kike aliyepewa heshima kwenye biblia..
- Wanawake walihesabiwa kama wazazi tu na sio watawala wa kiserkali wala kisiasa wala kidini...
Kuhusu kufunika kichwa
1 wakorintho 11:5-6,10,13,16
" Bali kila mwanamke asalipo, au anapohutubu, bila kufunika kichwa, yuaaibisha kichwa chake; kwa maana ni sawasawa na yule aliyenyolewa......
Maana mwanamke asipofunikwa na akatwe nywele. Au ikiwa ni aibu mwanamke kukatwa nywele zake au kunyolewa, na afunikwe.
Kwa hiyo imempasa mwanamke awe na dalili ya kumilikiwa kichwani, kwa ajili ya malaika.Je! Inapendeza mwanamke amwombe Mungu asipofunikwa kichwa?
Lakini mtu ye yote akitaka kuleta fitina, sisi hatuna desturi kama hiyo, wala makanisa ya Mungu."
kuwakataza katika utawala wanawake na kuwanyima priorit na kuwanyamazisha
1 Timotheo 2:11-14
"Mwanamke na ajifunze katika utulivu, akitii kwa kila namna, Simpi mwanamke ruhusa ya kufundisha, wala kumtawala mwanamume, bali awe katika utulivu,
Kwa maana Adamu ndiye aliyeumbwa kwanza, na Hawa baadaye, "Wala Adamu hakudanganywa, ila mwanamke alidanganywa kabisa akaingia katika hali ya kukosa."
Pia unaweza ukapitia hapa
1 wakorintho 14:34-38
"Wanawake na wanyamaze katika kanisa, maana hawana ruhusa kunena bali watii, kama vile inenavyo torati nayo.
Nao wakitaka kujifunza neno lo lote, na wawaulize waume zao wenyewe nyumbani mwao; maana ni aibu wanawake kunena katika kanisa.
Au je! Neno la Mungu lilitoka kwenu? Au kuwafikia ninyi peke yenu?
Mtu akijiona kuwa ni nabii au mtu wa rohoni, na ayatambue hayo ninayowaandikia, ya kwamba ni maagizo ya Bwana.
Lakini mtu akiwa mjinga, na awe mjinga..........
MY TAKE ON THIS
Mkuu dini zote hizi tatu zinafanana kimuuundo so usitukane nyingine ukadhani uko salama zote ziko sawa....
KUHUSU USTAARABU WA WAARABU..
wengi mmetukana sana kuhusu Ustaarabu wa waarabu bila kujali hata Mtume wenu Paulo,Alipopewa utume (kama anavyosema) kabla ya kwenda kukutana na wanafunzi wa Yesu alienda kwanza uarabuni na kupata ustaarabu wa Waarabu...
Soma wagalatia 1:16-18
"Alipoona vema kumdhihirisha Mwanawe ndani yangu, ili niwahubiri Mataifa habari zake; mara sikufanya shauri na watu wenye mwili na damu;
wala sikupanda kwenda Yerusalemu kwa hao waliokuwa mitume kabla yangu; bali nalikwenda zangu Uarabuni, kisha nikarudi tena Dameski.
Kisha, baada ya miaka mitatu, nalipanda kwenda Yerusalemu ili nionane na Kefa, nikakaa kwake siku kumi na tano."
Ni muafrika mwenyewe ndie aliyekubali kuuzwa utumwani tusiwasingizie waarabuMwarabu alileta mila za hovyo sana Bongo. Wafuasi wa dini kwao ni kawaida jamaa kumuoa mtoto wa shangazi, mjomba, baba mkubwa, baba mdogo, na watoto wa mama mkubwa na mama mdogo. Hii ni kinyume kabisa na mila za asili kabla ya ujio wa wavurugaji hawa wa mila kutoka Uarabuni, ambao walikuja kuuza watu kama kuku huku wakilazimisha watu kufuata dini yao, ambayo kimsingi ni mila zao. Kutokana na hilo, unakuta magonjwa ya kurithi ya kigenetiki yanakuwa mengi miongoni mwao.
Kwa sababu huwa wanapenda kurusha mawe...wakati wana nyumba ya viooWatapita kama hawaoioni.
waarabu ni waislam 99.99999%. Na Dini ya kiislamu iko very much internalised...... huwezi kutenganisha uislamu na uarabu!Kiarabu na Mila za kiislamu
Mila za kiafrika unazijua nenda hadi Leo wapogoro wanaoana ndugu,mtu anazaa hadi na mama yake mzazi, Kaskazini baba anazaa na binti yake unataka kusema ushenzi gani.Nani kakuambia naamini biblia? Uliza mababu zako kama wapo kabla ya ujio wa wakoloni huo upumbavu ulikuwepo kwenye ukoo wenu? Maana Sasa Kuna mitanzania imekuwaitumwa ya mila, tamaduni, Mavazi, vyakula na lugha za waarabu na wazungu kwa visingizio vya dini ambayo kimsingi ni Mila za hao mabwenyenye