Nimepotea kabisa!Ukute anatumia ile wanaita 'inueni mioyo'
On point brother!Mimi nasemeja, kuwa na umri mkubwa sio kuharibika sura hapana kubwa. Tena kwa watoto wa Mungu, aliahidi kuwafanya wapya kila cku, angalia kwa mfano Mwlm Mwakasege, ni mkubwa sana tu kwa mzee wa upako, muungalie alivyo sura, hata mimi naonekana mkubwa kwake. Muonekano wa sura ya mtu huwakilisha yale anayofanya.
Kwanini siko fair?Mm Simo, hajafanya tukio, mmeanza kumchambua, hizo ni dhihaki kubwa hata kama ana skendo...ila machoni kwa Mungu binadamu hawezi jua hukumu yake...kubadirika sura kuna mengi...sio lazima sababu zinazotajwa...Mungu ndo ajuaye maana ndiye anae mtumikia kwa kadri ya ufahamu wetu...hakuna aliyesema watu wamuamini yeye na mahibiri yake...kila MTU huchagua mahali pa kuabudu...watumishi wako wengi....ministry na madhehebu pia...
Uliyea anzisha Uzi huu hauko fair, hata kama una mchukia...ila haikufanyi wewe kutomwamini Mungu wako...
Nimesema haya kwakuwa ukiwa na akili si njema kumsema MTU ambae wewe hana athari nawe, ukimwacha Kuna atakaye kuuliza kuwa kwanini ulimwacha na sura yake?
hahahah una nia Mbaya na Mimi mkuu ........April imepita?Kivp..em fafanua mkorogo na kuvimba macho kuna uhusiano gani
Nimeona kama kavaa pete ya kijani[emoji23]?
Una uhakika nimemchunguza?Wewe unamchunguza mtumishi wa Bwana machoni una pepo la uzinzi,umemtamani,kumbuka huyu ni mume wa mtu.
Huna haya wala soni.
Biblia inakataza kumnenea ama kumsema vibaya mtumishi wa Bwana!
We sikiliza neno uokoke,Sura na mengineyo mwachie muumba!
HelaHabarini Wadau
Mbona mzee wa Upako anavimba tu macho na kuota ukungu?
Ukijaribu kuangalia picha zake za awali kidogo tu na sasahv kwakweli utagundua huyu Lusekelo anavimba usoni hasa maeneo ya kuzunguka macho.
Sababu ni nini?
Ni kweli ni kutokana na kujichubua au utumiaji wa pombe kali kama wadaivyo watu?
Kwanini siko fair?
Kwasababu nimeuliza ni nini kinamharibu Lusekelo sura?
Una uhakika ni Mjoli wa bwana Mungu?Mkubwa Azael, sio vyema kumnyoshea kidole mjoli wa Bwana Mungu!
Jamii kwa ujumla tulielewe hilo na tusiwe na tabia ya kuthibitisha habari ambayo haijadhihirika ni kweli.
Niwatakie jumamosi njema.