Hivi ni nini kinamuharibu sura Mzee wa Upako ?

Hivi ni nini kinamuharibu sura Mzee wa Upako ?

Amekengeuka ha ha ha Mungu ukimpa kisogo ye anakupa mgongo!
 
Mimi nasemeja, kuwa na umri mkubwa sio kuharibika sura hapana kubwa. Tena kwa watoto wa Mungu, aliahidi kuwafanya wapya kila cku, angalia kwa mfano Mwlm Mwakasege, ni mkubwa sana tu kwa mzee wa upako, muungalie alivyo sura, hata mimi naonekana mkubwa kwake. Muonekano wa sura ya mtu huwakilisha yale anayofanya.
On point brother!
 
Mm Simo, hajafanya tukio, mmeanza kumchambua, hizo ni dhihaki kubwa hata kama ana skendo...ila machoni kwa Mungu binadamu hawezi jua hukumu yake...kubadirika sura kuna mengi...sio lazima sababu zinazotajwa...Mungu ndo ajuaye maana ndiye anae mtumikia kwa kadri ya ufahamu wetu...hakuna aliyesema watu wamuamini yeye na mahibiri yake...kila MTU huchagua mahali pa kuabudu...watumishi wako wengi....ministry na madhehebu pia...
Uliyea anzisha Uzi huu hauko fair, hata kama una mchukia...ila haikufanyi wewe kutomwamini Mungu wako...
Nimesema haya kwakuwa ukiwa na akili si njema kumsema MTU ambae wewe hana athari nawe, ukimwacha Kuna atakaye kuuliza kuwa kwanini ulimwacha na sura yake?
Kwanini siko fair?

Kwasababu nimeuliza ni nini kinamharibu Lusekelo sura?
 
Nawahurumia sana waumini wake ,kwa sasa sidhani kama hata huo uponyaji ataweza ,labda asaidiwe na zile pete !
 
Wewe unamchunguza mtumishi wa Bwana machoni una pepo la uzinzi,umemtamani,kumbuka huyu ni mume wa mtu.
Huna haya wala soni.

Biblia inakataza kumnenea ama kumsema vibaya mtumishi wa Bwana!
We sikiliza neno uokoke,Sura na mengineyo mwachie muumba!
 
Wewe unamchunguza mtumishi wa Bwana machoni una pepo la uzinzi,umemtamani,kumbuka huyu ni mume wa mtu.
Huna haya wala soni.

Biblia inakataza kumnenea ama kumsema vibaya mtumishi wa Bwana!
We sikiliza neno uokoke,Sura na mengineyo mwachie muumba!
Una uhakika nimemchunguza?

Unajua tofauti yakuchunguza na kuona au umejiandikia tu?
 
Habarini Wadau

Mbona mzee wa Upako anavimba tu macho na kuota ukungu?

Ukijaribu kuangalia picha zake za awali kidogo tu na sasahv kwakweli utagundua huyu Lusekelo anavimba usoni hasa maeneo ya kuzunguka macho.

Sababu ni nini?

Ni kweli ni kutokana na kujichubua au utumiaji wa pombe kali kama wadaivyo watu?
Hela
 
Mkubwa Azael, sio vyema kumnyoshea kidole mjoli wa Bwana Mungu!
Jamii kwa ujumla tulielewe hilo na tusiwe na tabia ya kuthibitisha habari ambayo haijadhihirika ni kweli.
Niwatakie jumamosi njema.
 
Kwanini siko fair?

Kwasababu nimeuliza ni nini kinamharibu Lusekelo sura?

Hujakosea kutoa maoni yako..lakini unasababisha watu wengine wafanye dhihaka ya maneno kwa mtu huyo; nae ni binadamu kama wengine. Usingeanzisha wewe huu uzi (kwa maana nzuri unayo waza wewe) yasingetokea maneno mengi kama yanayosemwa na watu humu...ambayo mengi si mazuri kwa binadamu mwenzao, hata ungekuwa wewe....au mimi..kama kakosa, basi Mungu wake anajua kudeal nae....na kama tayaru anadeal nae, sisi wengine hatujui..yeye ndo anajua...ila kuleta uzi hapa na kumsakama kwa "mabadiriko ya sura" sio Fair.....wengi tunabadirika kwa sababu mbalimbali...magonjwa, uzee nk....
 
BAPA SI CHAI. KUNA KIPINDI NILIKUWA NAYAPIGA MAWILI NA NUSU TENA KAVU, NILICHOKIPATA NI SIRI YANGU.
 
Mkubwa Azael, sio vyema kumnyoshea kidole mjoli wa Bwana Mungu!
Jamii kwa ujumla tulielewe hilo na tusiwe na tabia ya kuthibitisha habari ambayo haijadhihirika ni kweli.
Niwatakie jumamosi njema.
Una uhakika ni Mjoli wa bwana Mungu?

Ni nani amethibitisha ya kusikia?

Mkuu mimi nimeuliza tu swali kuhusu Lusekelo ili lijibiwe.
 
Leo nimefurahi mahubiri yake Channel ten.. Anakuambia "Acha maneno weka mziki"
 
Back
Top Bottom