Eli Cohen
JF-Expert Member
- Jun 19, 2023
- 4,460
- 13,715
Naamini hata wewe umeshasikia mtu akiwadiss vijana waishio au wafanyao biashara Makumbusho hasa wale wauza simu. Mitandaoni na mitaani mara nyingi utasikia stori kuhusu vijana wa Makumbusho.
What is it with these guys from nakymbusho? Ni uhuni, ulofa, waovyo, utapeli, etc
⁸
What is it with these guys from nakymbusho? Ni uhuni, ulofa, waovyo, utapeli, etc