Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mishangazi au mabasha?Watu wanahudumia kuanzia mtaji, gari na kodi
Hahahahahah mie nilikuwa namaanisha wale vichaa wanaozagaa wengine wako kazini. Nyi mnasema hawumwi wakati wanarushiwa mabox ya dawa usikuHaha extro una hasira nao sanaa
Vijana wengi pale wanajihusisha naNani kakwambia wanatoa yako mkuu
Okay tuseme kwa siku unaweza kuuza makava mangap ya sim mkuu mpaka uweze kumiliki mali zote hizo?Kama unataka kuishi vizuri Unabidi kuhakikisha unafatilia mambo yako tu hii itakufanya kuishi bila kujiumiza Wala kumuumiza mtu .
Maana hata Bilnass yupo na duka la simu makumbusho na sinza hivyo Kuna vitu Kama crown au mtu kukaa Sehemu kodi inalipwa laki tano ,sio vitu vya kushangaa sema ni umasikini ndo unatufanya kushangaa crown na kukaa apartment.
Tuendelee kupambana success is not for choosen one.
Mzee Matola umeshamtolea siri. Sasa ashindwe yeye tu.Towa tako na wewe uendeshe Toyota crown.
Endelea kushangaaOkay tuseme kwa siku unaweza kuuza makava mangap ya sim mkuu mpaka uweze kumiliki mali zote hizo?
Huyo mzee unamwamini?Mzee Matola umeshamtolea siri. Sasa ashindwe yeye tu.
Kijana wa makumbusho 😂😂😂😂🙌🙌🙌Hahahahahah mie nilikuwa namaanisha wale vichaa wanaozagaa wengine wako kazini. Nyi mnasema hawumwi wakati wanarushiwa mabox ya dawa usiku
Huyu Dr Matola PhD wa hovyo sana khaaa 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Mzee Matola umeshamtolea siri. Sasa ashindwe yeye tu.
Yeah mkuuHuyo mzee unamwamini?
Aisee kumbe, hii hatariNa maduka ya sinza, knyama, kino, survey na makumbusho kuna wadada ni wameweka viofisi vyao kwaajili ya kudangia hasa kwaajili ya jioni wazee wanapotoka makazini wakipita njia basi na wadangaji wanajianika huko nje ya viduka na frem zao
Huwezi kumfananisha kijana anayemiliki frame Kariakoo na hao iPhone Makumbusho...Achaneni nao hao vijana. Binafsi naonaga wale wafanyabiashara za simu na vifaa vyake pale makumbusho pamoja na vifaa vingine vya kielektroniki wanajitambua na kujithamini kupita hata wa Kariakoo.
Kariakoo ndo kumejaa vijana wa hovyo Dar es Salaam nzima hakuna! (Matapeli, vibaka, wajuaji, washirikina, wadananda na kadha wa kadha... wote humo humo)
Soma tena uelewe. Soma au hujui kusoma.Sasa hao hao wa Makumbusho mbona wengi wanachukua mzigo kwa watu wa Kariakoo...
Situmukubaliana wanaadapt mazingira mkuu [emoji3][emoji3][emoji3]Hahahahahah mie nilikuwa namaanisha wale vichaa wanaozagaa wengine wako kazini. Nyi mnasema hawumwi wakati wanarushiwa mabox ya dawa usiku
Najua kuandika...kusoma sijui Mkuu..Soma tena uelewe. Soma au hujui kusoma.