Hivi ni nini kipo kwa vijana wa Makumbusho, mbona watu wana wadiss sana?

Okay tuseme kwa siku unaweza kuuza makava mangap ya sim mkuu mpaka uweze kumiliki mali zote hizo?
 
Huwezi kumfananisha kijana anayemiliki frame Kariakoo na hao iPhone Makumbusho...

Labda kama unazungumzia vijana wengine...
 
Hahahahahah mie nilikuwa namaanisha wale vichaa wanaozagaa wengine wako kazini. Nyi mnasema hawumwi wakati wanarushiwa mabox ya dawa usiku
Situmukubaliana wanaadapt mazingira mkuu [emoji3][emoji3][emoji3]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…