dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,901
- 58,103
jamaa wako yuko sahihi kabisaJamaa ashasema hamtaki tena. Anataka mwanamke wa kujenga familia katika hali ya shida na raha na sio kumpima kwanza kwa kaz gani afanyayo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
jamaa wako yuko sahihi kabisaJamaa ashasema hamtaki tena. Anataka mwanamke wa kujenga familia katika hali ya shida na raha na sio kumpima kwanza kwa kaz gani afanyayo
Anataka kumkadiria kiwango cha kumpiga mizinga mpaka akili zikae sawa jamaa kafanya maamuzi mazuri ku move on mapema.Wakuu habarini[emoji112]
Naomba kupewa maelekezo na walio kwenye ndoa au watu wenye uzoefu wa maswala haya.
Je, hivi ni sahihi mwanamke unayemchumbia awe mke wako kukuuliza kwamba unafanya kazi gani?
Kuna rafiki angu alikua kampenda binti kamfata hado kwao kwa maongezi zaid ya uchumba ili achukue jiko. Lakini katika kuulizana ulizana maswali yule binti akamuuliza jamaa kua anafanya kazi gani? Jamaa akajibu ila badae alijitafakari juu ya hilo swali ikabidi aachane uchumba na huyo binti. Atafute mwingine
Tumejaribu kumshauri rafiki zake kwamba aendelee kua nae ila kagoma. Anasema kwamba kwanini aulizwe kazi anayofanya? Anataka ajue kipato anachopata? Je, akishajua kipato anachopata si baadae anaweza akampotezea akipata mwanaume mwingine mwenye kazi na kipato kizuri zaidi? Jamaa anasema huyo dada atakua yupo after money na sio kujenga familia katika hali zote za maisha.
So wazoefu naombeni majibu je jamaa kafanya sahihi au sio sahihi. Na mwanamke alifanya vibaya au vizuri kumuuliza kipato chake?
Mkuu drone. Waambie vijana wapone wasijibu kwa mihemko, mchumba au mpenzi wa kike akikuuliza kazi yako anakua ana kupimia kiwango cha kukuchuna mpaka ukome. Anae paswa kujua kazi yako na kipato chako ni mke wako tuu tena kwa asilimia 45 na siyo vinginevyowasiwasi ndiyo akili, ashikilie hapahapa
KE yeyote anayeulizia kipato chako, basi kama ni GF, anakuandalia pakej nzuri size yako ya mizinga
piga chini
Hee unataka binti ya watu halafu hutaki kutaja kazi yako, ukiwa jambazI? Endelea kutumia sabuni!Wakuu habarini👋
Naomba kupewa maelekezo na walio kwenye ndoa au watu wenye uzoefu wa maswala haya.
Je, hivi ni sahihi mwanamke unayemchumbia awe mke wako kukuuliza kwamba unafanya kazi gani?
Kuna rafiki angu alikua kampenda binti kamfata hado kwao kwa maongezi zaid ya uchumba ili achukue jiko. Lakini katika kuulizana ulizana maswali yule binti akamuuliza jamaa kua anafanya kazi gani? Jamaa akajibu ila badae alijitafakari juu ya hilo swali ikabidi aachane uchumba na huyo binti. Atafute mwingine
Tumejaribu kumshauri rafiki zake kwamba aendelee kua nae ila kagoma. Anasema kwamba kwanini aulizwe kazi anayofanya? Anataka ajue kipato anachopata? Je, akishajua kipato anachopata si baadae anaweza akampotezea akipata mwanaume mwingine mwenye kazi na kipato kizuri zaidi? Jamaa anasema huyo dada atakua yupo after money na sio kujenga familia katika hali zote za maisha.
So wazoefu naombeni majibu je jamaa kafanya sahihi au sio sahihi. Na mwanamke alifanya vibaya au vizuri kumuuliza kipato chake?
Wako kimtamthilia hao, field hawajui mambo ikojeMkuu drone. Waambie vijana wapone wasijibu kwa mihemko, mchumba au mpenzi wa kike akikuuliza kazi yako anakua ana kupimia kiwango cha kukuchuna mpaka ukome. Anae paswa kujua kazi yako na kipato chako ni mke wako tuu tena kwa asilimia 45 na siyo vinginevyo
Wako kimtamthilia hao, field hawajui mambo ikoje
Asilimia kubwa ya wapigania haki za wanawake hua wanaume. Wanaona wakijipendekeza watapata kupendwa naoMkuu drone. Waambie vijana wapone wasijibu kwa mihemko, mchumba au mpenzi wa kike akikuuliza kazi yako anakua ana kupimia kiwango cha kukuchuna mpaka ukome. Anae paswa kujua kazi yako na kipato chako ni mke wako tuu tena kwa asilimia 45 na siyo vinginevyo
Inasikitisha sanaAsilimia kubwa ya wapigania haki za wanawake hua wanaume. Wanaona wakijipendekeza watapata kupendwa nao
Ndio ni sahihi, hivi ni sahihi mwanamke unayemchumbia awe mke wako kukuuliza kwamba unafanya kazi gani?
Mkuu hapo binti amekosea wapi? Kuna ubaya gani kuulizwa hilo swali? Mwanamke anataka kujiridhisha kama mtu anayetaka kumuoa anaweza kumanage familia. Sasa kama mambo madog9 kama haya mnamind mtaweza kuanzisha familia nyie?Aliuliza utaweza kunihudumia jamaa kasema ndio.. hafu likafata swali la kazi gani unafanya. WTF
Yeye alitaka aulizwe swali gani?Wakuu habarini👋
Naomba kupewa maelekezo na walio kwenye ndoa au watu wenye uzoefu wa maswala haya.
Je, hivi ni sahihi mwanamke unayemchumbia awe mke wako kukuuliza kwamba unafanya kazi gani?
Kuna rafiki angu alikua kampenda binti kamfata hado kwao kwa maongezi zaid ya uchumba ili achukue jiko. Lakini katika kuulizana ulizana maswali yule binti akamuuliza jamaa kua anafanya kazi gani? Jamaa akajibu ila badae alijitafakari juu ya hilo swali ikabidi aachane uchumba na huyo binti. Atafute mwingine
Tumejaribu kumshauri rafiki zake kwamba aendelee kua nae ila kagoma. Anasema kwamba kwanini aulizwe kazi anayofanya? Anataka ajue kipato anachopata? Je, akishajua kipato anachopata si baadae anaweza akampotezea akipata mwanaume mwingine mwenye kazi na kipato kizuri zaidi? Jamaa anasema huyo dada atakua yupo after money na sio kujenga familia katika hali zote za maisha.
So wazoefu naombeni majibu je jamaa kafanya sahihi au sio sahihi. Na mwanamke alifanya vibaya au vizuri kumuuliza kipato chake?
Ni muhimu mke wako kujua kazi unayofanya, unless wewe ni jambazi hapo ndio umfiche atajua mwenyewe mbele ya safariWakuu habarini👋
Naomba kupewa maelekezo na walio kwenye ndoa au watu wenye uzoefu wa maswala haya.
Je, hivi ni sahihi mwanamke unayemchumbia awe mke wako kukuuliza kwamba unafanya kazi gani?
Kuna rafiki angu alikua kampenda binti kamfata hado kwao kwa maongezi zaid ya uchumba ili achukue jiko. Lakini katika kuulizana ulizana maswali yule binti akamuuliza jamaa kua anafanya kazi gani? Jamaa akajibu ila badae alijitafakari juu ya hilo swali ikabidi aachane uchumba na huyo binti. Atafute mwingine
Tumejaribu kumshauri rafiki zake kwamba aendelee kua nae ila kagoma. Anasema kwamba kwanini aulizwe kazi anayofanya? Anataka ajue kipato anachopata? Je, akishajua kipato anachopata si baadae anaweza akampotezea akipata mwanaume mwingine mwenye kazi na kipato kizuri zaidi? Jamaa anasema huyo dada atakua yupo after money na sio kujengai familia katika hali zote za maisha.
So wazoefu naombeni majibu je jamaa kafanya sahihi au sio sahihi. Na mwanamke alifanya vibaya au vizuri kumuuliza kipato chake?
Uoni hilo swali lina impact gani, inamaana ndoa yenu itasimamiwa na kazi siku ukifukuzwa kazi huyo binti ata-refer hilo swali kama Saraha ya kukulaumu kwamba ulisema unaweza nihudumia.Mkuu hapo binti amekosea wapi? Kuna ubaya gani kuulizwa hilo swali? Mwanamke anataka kujiridhisha kama mtu anayetaka kumuoa anaweza kumanage familia. Sasa kama mambo madog9 kama haya mnamind mtaweza kuanzisha familia nyie?
"UNAWEZA KUNI HUDUMIA, JE UNAFANYA KAKZI GANI"Ni muhimu mke wako kujua kazi unayofanya, unless wewe ni jambazi hapo ndio umfiche atajua mwenyewe mbele ya safari
Sio Mtu unaficha kazi kama unauza mjani