Hivi ni sahihi mwanamke unayemchumbia akikuuliza kazi unayofanya?

Hivi ni sahihi mwanamke unayemchumbia akikuuliza kazi unayofanya?

Akili zingine ni mzigo. Moja kati ya vitu muhimu kuvijua toka kwa mwenzi wako ni pamoja na kazi, kama hana kazi ujue pia lkn mtu kutaka kuweka siri hii hapana. Bora kajikataa mapema.
 
"UNAWEZA KUNI HUDUMIA, JE UNAFANYA KAKZI GANI"

hii pattern ya swali hata mimi nsitisha kuoa kama jamaa imekaa ki after money sana, statement inaonesha huyo mwanamke atakuja kutumia hio sentensi kama silaha huko mbele mambo yakiwa tia maji tia maji.
Kumhudumia ni lazima na sio ombi!! Na ndio kigezo cha kwanza kwa mwanaume kumuoa Mke,

Ila kuna kipengele cha shida na raha, uzima na maradhi ambacho kinaingiwa siku ya kufunga ndoa ili kuweka mizania sawa kuwa kuna kupanda na kushuka huko mbeleni

Chochote kitakachotokea kila mmoja awe tayari
 
Kumhudumia ni lazima na sio ombi!! Na ndio kigezo cha kwanza kwa mwanaume kumuoa Mke,

Ila kuna kipengele cha shida na raha, uzima na maradhi ambacho kinaingiwa siku ya kufunga ndoa ili kuweka mizania sawa kuwa kuna kupanda na kushuka huko mbeleni

Chochote kitakachotokea kila mmoja awe tayari
Nani aliyepinga mwanaume kuhudumia hapa
 
Yaani mtu anayeenda kuanzisha uhusiano nae asijue anafanya shughuli gani na wapi?..
 
Back
Top Bottom