Hivi ni sahihi mwanaume kugugumia/kulia kimahaba wakati wa sex??

Hivi ni sahihi mwanaume kugugumia/kulia kimahaba wakati wa sex??

Huenda yeye ndiye anayetafunwa...
Umewaza nje ya box, hayo mambo kweli yapo.

Housing za miili yao zinakuwa tofauti na jinsia zao.

Mwanaume anakuwa ni mwanamke kwa ndani kimaumbile na kijinsia tofauti na muonekano wa nje.

Vivyo hivyo na mwanamke anakuwa ni mwanaume kimaumbile ya ndani kijinsia.

Lakini wengine ni wanaume kabisa ambao hujichetua akili na kuanza kuangua vilio vyao vya kishenzi akishakuwa juu ya tuta, akiugulia gharama alizotoa ama manyanyaso aliyofanyiwa kipindi anafukuzia penzi hilo, hivyo anaamua tu aliye kupunguza machungu.
 
Umenikumbusha jamaa yangu mmoja alikuwaga anamlomba manzi yake kwenye geto la mabanzi O level kule umasaini,tukawa tunapiga chabo jamaa ananguruma,nilipambana mpaka na mimi nikamlombea
Alichokuwa anaungurumia, je kililingana na uhalisia wa thamani ile ile ya kile ambacho nawe ulipewa?

Japo tuna hisia tofauti, lakini kuna sehemu mnawezaingia wanaume hata kumi na wote mkatoka na sifa moja kwamba 'yes'.

Je uliona ilikuwa ni halali yake jamaa kuunguruma au baada ya kuonjeshwa na wewe ukamuona huyo mwenzako alikuwa na swaga za kipumbaf tu kutokana na mali ulivyoikuta?
 
Kuna huyu jamaa jirani na nyumba niliyopanga, aisee nimeshindwa kumwelewa, akiwa huko faragha na mpenzi wako anagugumia/kulia kimahaba MPAKA kero....yaani wakigegedana huko yeye ndio anatoa makelele kupita hata huyo demu wake.

Sasa nimejiuliza hii ni kawaida kweli??, kikawaida na uzoefu wangu najua mwanaume anagugumia kimya kimya kwa sauti ndogo ila huyu jamaa yeye anapiga mikelelee hatari
Kalume kenge kwer huyu anataka aleft,🤣🤣
 
Mtafute demu wake umle ili ujue kinachomliza ni utamu kweli au ni style ake ya kunogesha mchezo tu
 
Mababu zetu walifanya kimya kimya, ina maana siku hizi utamu umeongezeka?
Una Habari papuchi za Zamani ndo zilikuwa tamu mno, za sikuhizi sijui wanawake wamejifanyaje, au ndo usugu wa dildo na matango? Sasa Babu zetu na utamu wa asili wa kipindi kile hawakupiga makelele.
 
Kuna mmoja kaachwa kisa akifika kilimani anapiga kelele eti "linakuja hiloo,linakujaa,linakujaa"

Kuna mwingine nae analia ka mtoto mchanga vile kabisa

Mwingine huyu akimaliza kugugumia akishapoa anasema "Bismillah riaman tahim"
(sijui maana yake Nini)
 
Back
Top Bottom