Metronidazole 400mg
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 941
- 2,062
- Thread starter
- #101
Hukutoa machozi mkuu??Kuna wakati mtoto wa kitanga aliifinyia kwa ndani hapo same hapo nikiwa kikazi. Aaaah nilipiga kelele ya kufa mtu, saa kumi na Moja asubuhi...
Unalipaje vizuri TU Haina tabu. Mapenzi ni kufurahi...