fukunyuku1234
JF-Expert Member
- Mar 12, 2024
- 243
- 494
- Thread starter
- #21
Ye hajawahi kuombwa na mzigo anapewa bure sasa kaona kamseleleko aombe hela......AIBUMaisha hayanaga kanuni ya aina moja tu.
Loves gives.
Loves is about both giving and receiving.
Sio ujue kupokea tu lakini unapaswa kujifunza kutoa.
Love must be reciprocated
Kwanza mwanaume anaempa mwanamke hela hawezi kumuomba hela....hivi viwanaume njaa ndio shida