fukunyuku1234
JF-Expert Member
- Mar 12, 2024
- 243
- 494
- Thread starter
-
- #21
Ye hajawahi kuombwa na mzigo anapewa bure sasa kaona kamseleleko aombe hela......AIBUMaisha hayanaga kanuni ya aina moja tu.
Loves gives.
Loves is about both giving and receiving.
Sio ujue kupokea tu lakini unapaswa kujifunza kutoa.
Love must be reciprocated
Pambana hakuna mtu ambaye mambo hayajakazaAibu ya nini na mambo yamekaza
Pambana hakuna mtu ambaye mambo hayajakaza
Huyo mdada hampendi huyo kijana, that's the reality.Hii imemtokea rafiki yangu mmoja alianzisha mahusiano na kijana mmoja baada ya kama miezi miwili kupita huyo kijana akaanza kuwa anamuomba huyo dada pesa na kumueleza shida zake mbalimbali ili amsaidie kifedha
Hii imekaaje wadau.
Vijana wa kiume mmekuwaje?
Hii imemtokea rafiki yangu mmoja alianzisha mahusiano na kijana mmoja baada ya kama miezi miwili kupita huyo kijana akaanza kuwa anamuomba huyo dada pesa na kumueleza shida zake mbalimbali ili amsaidie kifedha
Hii imekaaje wadau.
Vijana wa kiume mmekuwaje?
Hii imemtokea rafiki yangu mmoja alianzisha mahusiano na kijana mmoja baada ya kama miezi miwili kupita huyo kijana akaanza kuwa anamuomba huyo dada pesa na kumueleza shida zake mbalimbali ili amsaidie kifedha
Hii imekaaje wadau.
Vijana wa kiume mmekuwaje?