DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Pole Sana - hela wanazo wale jamaa ndhani ushawajua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sema tutafika tu, Bora vijana muwe vizuri kiuchumi ili muwatunze wazeee kuliko hii ya Sasa yaan wazeee ndo wapo vizuri 😂Aisee, mi nishavsurugwa hadi dogo tu imebidi nimrudishe kwanza home.
Tulisukume tu psssf iongezeke tustaafu basi!Kufanya kazi serikalini ngumu sana, ufanisi unakua mdogo na hamna mtu wa kunifanya kitu.
Kuna kipindi hadi aibu unapiga simu home wakisema utume hela kidogo ya mbolea au kukarabati home unaanza sound za kidalali.Sema tutafika tu, Bora vijana muwe vizuri kiuchumi ili muwatunze wazeee kuliko hii ya Sasa yaan wazeee ndo wapo vizuri 😂
Kwani uongo?Ila kuna misemo inatufariji sana, walioenda shule wanasema eti "what doesn't kill you, makes you stronger..." Thubutu
Sema mambo yatakaa sawaKuna kipindi hadi aibu unapiga simu home wakisema utume hela kidogo ya mbolea au kukarabati home unaanza sound za kidalali.
Kwani uongo?
Ili nalo neno man. Nimekula leo x3 nimshukuru Mungu. Ingawa nilitamani nile vizuri zaidi, niende Century Cinemax kuangalia Movie, nnavotoka nitoke na Krussher ya kishua pale jirani ila ndio ivo.. Ngoja nilale kesho nikaumie tena.Sasa usipokufa ukabaki na majeraha na uko taabani inasaidia kitu gani mkuu? Kuna watu wanapita nyakati ngumu maisha yao yote...
Muda na umri sio rafiki mzee. Hapa ata kiwanja hamna.
Nimescreeshot hii kitu. Shukrani mkali.Kama 40 bado, usikonde. Unaambiwa life begins at whaaaat? fote!
Hakikisha tu kila siku unafanya progress hata kama ni ndogo sana.
Ukiiacha ndoo ya maji sehemu, ikawa tone moja linadondoka kuanzia asubuhi ilimradi liendelee muda wote, jioni utakuta ndoo imejaa.
Unaweza kupambana kufukuzana na pesa kwa nguvu sana ukaambulia stress na disappointment za kutosha.
Yap 💯 pesa haikimbizwi kabisaUnaweza kupambana kufukuzana na pesa kwa nguvu sana ukaambulia stress na disappointment za kutosha.