Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Talaka zinaruhusiwa miaka yote, hakuna ndoa yoyote, narudia tena hakuna ndoa yoyote isiyokuwa na talaka.Lakini mahakama imeona kuna sababu zenye mashiko. Ushauri kwa wanaume wasizikimbie ndoa zao. Wakumbuke NDOA ni NDOANO.
Hivi talaka zinaruhusiwa siku hizi? mama D
Neno "uzinzi" hapo kwenye mathayo 5:23 lipo kimakosa hasa kwenye biblia za zamani, neno linalopaswa kuonekana hapo ni "maalimu" yaani ndoa ya ndugu wa damu yaani porneia.Biblia inakataza kuachana isipokua kwa sababu ya zinaa.
Maachano yote yanakatazwa wala huruhusiwi kuoa au kuolewa tena.
Achano la kusababishwa na zinaa halijasema wewe uliyemwacha mzinzi ubaki hivyohivyo bila kuoa ila limesema atakayemuoa yule mzinzi uliyemwacha kwa talaka anazini. Kwahiyo adhabu ya mzinzi ni kutalikiwa na kubaki bila mwenza
Mathayo 5:32
Lakini mimi nawaambieni, anayempa mkewe talaka, isipokuwa kwa sababu ya uzinzi, anamfanya azini; na mwanamume akimwoa mwanamke aliyepewa talaka, anazini.
Sheria ndizo zinaiongoza mahakama yoyote ile. Narudia tena, hakuna mahakama inayofanya maamuzi kama mwendawazimu bila kuzingatia sababu zenye mashiko.Talaka zinaruhusiwa miaka yote, hakuna ndoa yoyote, narudia tena hakuna ndoa yoyote isiyokuwa na talaka.
Mahakama ndio chombo cha kisheria na kikatiba cha kuvunja ndoa.
Ndoa inavunjwa na mahakama na siyo kanisani, hata mwanaume ana haki ya kuomba takaka mahakamani.Ndoa ya kikristo wanawake wanaitumia kama silaha ya kukomoa wanaume. Hasa kama mume ana pesa. Mwanamke hataki pesa ya mirathi imponyoke.
Kesi hizo zipo nyingi sana. Mwanamke anakubali mtengane hata miaka 100. Ila ukimwambia swala la divorce hataki hata kulisikia. Na anakimbilia kanisanii kabisaaa kutaka wachungaji wasilikubali.
Hii ni Biblia yako wewe na tafsiri zako, na ndio sababu watu wengi wenye akili timamu wameshagunduwa hizi dini ni magubashi tu miradi ya sadaka.Neno "uzinzi" hapo kwenye mathayo 5:23 lipo kimakosa hasa kwenye biblia za zamani, neno linalopaswa kuonekana hapo ni "maalimu" yaani ndoa ya ndugu wa damu yaani porneia.
Ni makosa ya watafsiri toka lugha asili ya icho kitabu kuja lugha yetu ya kiswahili ndio yaliofanyika, hivyo Yesu alitaka kumaanisha hakuna talaka kwa namna yeyote ile ipokuwa kama itagundulika walio-oana ni ndugu wa damu yaani maalimu, hapo ndoa ivunjwe na kila mmoja anakuwa huru kutafuta mwenza mwingine sio muoaji wala muolewaji.
Sijui kama hata unaelewa ulichokiandika.Sheria ndizo zinaiongoza mahakama yoyote ile. Narudia tena, hakuna mahakama inayofanya maamuzi kama mwendawazimu bila kuzingatia sababu zenye mashiko.
Mfano, ndoa ya akina Halima Mdee ilipovunjwa (kinyemela?), now mahakama inataka kujiridhisha. Otherwise ingeweka muhuri wake na kuridhia hatua hiyo.
Hapa sijakuelewa umesema jack lazima apate tu, kwa vigezo gani? Walitafuta pamoja na mzee mengi?Kuna mali za pamoja mke na mume kisheria zinaitwa matrimonial property. Na pia kuna mali binafsi za wanandoa. Ambazo mmoja wa wanandoa kazitafuta mwenyewe kabla hamjafunga ndoa. Ama amerithi kwenye ukoo wao
Kesi ya jack bado haijatolewa maamuzi ya mgao wa mali. Jack lazima apate tu sababu ni mke halali wa marehemu
Kwenye maandiko sasa ila kimaatendo haya hayapo siku hizi. Mkishindwana talaka then kila mtu atafute ustaarabu wakeBiblia inakataza kuachana isipokua kwa sababu ya zinaa.
Maachano yote yanakatazwa wala huruhusiwi kuoa au kuolewa tena.
Achano la kusababishwa na zinaa halijasema wewe uliyemwacha mzinzi ubaki hivyohivyo bila kuoa ila limesema atakayemuoa yule mzinzi uliyemwacha kwa talaka anazini. Kwahiyo adhabu ya mzinzi ni kutalikiwa na kubaki bila mwenza
Mathayo 5:32
Lakini mimi nawaambieni, anayempa mkewe talaka, isipokuwa kwa sababu ya uzinzi, anamfanya azini; na mwanamume akimwoa mwanamke aliyepewa talaka, anazini.
Kweli k1bisa, kanisa au BAKWATA etc hawawezi vunja ndoa. Infact ndoa za serikaliTalaka zinaruhusiwa miaka yote, hakuna ndoa yoyote, narudia tena hakuna ndoa yoyote isiyokuwa na talaka.
Mahakama ndio chombo cha kisheria na kikatiba cha kuvunja ndoa.
Biblia inakataza kuachana isipokua kwa sababu ya zinaa.
Maachano yote yanakatazwa wala huruhusiwi kuoa au kuolewa tena.
Achano la kusababishwa na zinaa halijasema wewe uliyemwacha mzinzi ubaki hivyohivyo bila kuoa ila limesema atakayemuoa yule mzinzi uliyemwacha kwa talaka anazini. Kwahiyo adhabu ya mzinzi ni kutalikiwa na kubaki bila mwenza
Mathayo 5:32
Lakini mimi nawaambieni, anayempa mkewe talaka, isipokuwa kwa sababu ya uzinzi, anamfanya azini; na mwanamume akimwoa mwanamke aliyepewa talaka, anazini.
Biblia inakataza kuachana isipokua kwa sababu ya zinaa.
Maachano yote yanakatazwa wala huruhusiwi kuoa au kuolewa tena.
Achano la kusababishwa na zinaa halijasema wewe uliyemwacha mzinzi ubaki hivyohivyo bila kuoa ila limesema atakayemuoa yule mzinzi uliyemwacha kwa talaka anazini. Kwahiyo adhabu ya mzinzi ni kutalikiwa na kubaki bila mwenza
Mathayo 5:32
Lakini mimi nawaambieni, anayempa mkewe talaka, isipokuwa kwa sababu ya uzinzi, anamfanya azini; na mwanamume akimwoa mwanamke aliyepewa talaka, anazini.
Huyu bro anaonekana Upstair yupo vizuri sana, huyo mwanamke kinachoendelea hapo ni majuto ya kupoteza chuma kwa ujinga na upumbavu wake mwenyewe.!Nilisikitishwa sana na hili tukio lililomkuta kaka Sindato kwa kweli!
Na hii sio kwa Sindato tuu. Inatokea kwa watu wengi wanaume kwa wanawake. Unakuta watu wameshashindwana na kuamua kuachana lakini mmoja wao anapoamua kuingia kwenye mahusiano mengine inakua vita.
Tena wengine wanafikia hatua ya kuuana ili mradi mtu asiwe na mwenza mwingine.
Binafsi naamini ndoa ni maisha mazuri yenye kumpendeza Mungu na watu wanaotuzunguka; na zaidi naamini ndoa ni upendo Kati wa mwanaume na mwanamke. Naamini kabisa kama hakuna upendo basi hakuna ndoa, zaidi kutakua na uadui Kati marafiki waliogeuka kuwa maadui. Na hii ndio inapelekea kwenye Ile hatari ya watu kuuana na kuumizana.
Ifike mahala waoaji na waolewaji watambue kwamba kuoana na mtu haimaanishi kwamba hata upendo unapokua umeisha wewe utaendelea kummiliki, kumnyima haki yake ya kuishi na kumiliki vitu vingine na maisha mengine.
Yaani hawa watu wametengana nikiwa mdogo sana, hapo wanasema 18 years lakini kiuhalisia ni zaidi ya hiyo miaka. Sema hiyo 18 ndio yenye ushahidi wa utengano wao.
Wote ni waelewa, sheria ya ndoa ya dini yao wanaijua, sheria ya ndoa ya nchi wanaijua, wanajua kabisa hadi hiyo miaka ndoa ilishakua batili. Sasa sijui nia yao sasa ni kukomoana au kutaabishana tu.
Mama D, kuwa makini unaposoma biblia andiko ulilonukuu ni Yesu anawa address wayahudi (those under the Mosaic law).
Sheria ya Musa inasema ni ruksa mtu kutoa hati ya talaka na kuoa/kuolewa tena.
Deuteronomy 24:1-2
Kweli inaonesha hivi sasa mwanamke anajuta hasa kwasababu sio mbunge tena kwahiyo mtonyo wa kumpa kiburi hakuna tena kama huyo bro anavyoeleza hapo. Unajua wanawake hawaoni mbali ndio sababu wanakuwa na viburi ila kwenye maisha ndio kila kitu. Ona miaka 18 imepita leo ndio umuhimu wa mtu unaonekana wakati alishasonga na maisha yake.Huyu bro anaonekana Upstair yupo vizuri sana, huyo mwanamke kinachoendelea hapo ni majuto ya kupoteza chuma kwa ujinga na upumbavu wake mwenyewe.!
...na viela ela vyake vya ubunge ukute alipata kijana akawa anafanya ile kitu kama ajira rasmi akili zikamruka akamuona mume wake wa ndani kama ng'ombe sababu alipata vyote alivyohitaji (Pesa, mavazi na mapenzi) bila ya uwepo wake asijue muda ni mwalimu mzuri sana, inapoelekea ataanza kuokota makopo na akili zinaweza kumruka zote muda wowote sababu zimeanza kumruka kidogokidogo.Inaonesha sasa hivi mwanamke anajuta hasa kwasababu hivi sasa sio mbunge tena. Unajua wanawake hawaoni mbali ndio sababu wanakuwa na viburi ila kwenye maisha ndio kila kitu. Ona miaka 18 imepita leo ndio umuhimu wa mtu unaonekana wakati alishasonga na maisha yake.
Nadhani tofauti yetu ilikuwa hapo kwenye kuoa/kuolewa baada ya talaka. Huko juu umecomment na nadhani ndio msingi wa thread yako kuwa watu wakiachana (wakristo) hata biblia inaruhusu kuoa/kuolewa tena.Tumetofautiana wapi[emoji847]?
Msidhani ya kuwa nalikuja kuitangua torati au manabii; la, sikuja kutangua, bali kutimiliza.
Kwaahiyo unataka kulazimisha ambacho unaona kwako ni rahisi ?, wewe sio wa kwanza walianza wayahudi wenyewe wa zama za musa na yesu.Hii ni Biblia yako wewe na tafsiri zako, na ndio sababu watu wengi wenye akili timamu wameshagunduwa hizi dini ni magubashi tu miradi ya sadaka.
Hawa viumbe huwa wanarudi mambo yao yakishakwama lakini unakuta walipomuacha mtu walimuacha kwa dharau. Hawajui huwezi kutokea dirishani ukabaki mshindi daima, kwasababu lazima update karma...na viela ela vyake vya ubunge ukute alipata kijana akawa anafanya ile kitu kama ajira rasmi akili zikamruka akamuona mume wake wa ndani kama ng'ombe sababu alipata vyote alivyohitaji (Pesa, mavazi na mapenzi) bila ya uwepo wake asijue muda ni mwalimu mzuri sana, inapoelekea ataanza kuokota makopo na akili zinaweza kumruka zote muda wowote sababu zimeanza kumruka kidogokidogo.