KING MIDAS
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 8,589
- 16,936
Sitamiliki mwanamke1. Bunduki
2. Vilipuzi vya aina mbalimbali
3. Sumu za aina mbalimbali
4. Sitafuga nyoka wa biashara (sumu ya nyoka ni biashara nzuri)
5. Sitafuga nge kwa ajili ya biashara
6. Sitafuga samaki aina ya Bunju
7. Sitafuga aina yoyote ya kasa
Ukiona mtu anatembea au analala na bunduki ujue hajawa tajiri.Tajiri mkuu wa matajiri unaniangusha, matajiri wenzako wana 'safe' walizofungia bunduki kwa ulinzi binafsi
Ilikua inatafutwa hii comment huku mtaani na FFU wote ujue.Sitamiliki mwanamke
Kweli wewe ni ChujioTajiri mkuu wa matajiri unaniangusha, matajiri wenzako wana 'safe' walizofungia bunduki kwa ulinzi binafsi
1. Bunduki
2. Vilipuzi vya aina mbalimbali
3. Sumu za aina mbalimbali
4. Sitafuga nyoka wa biashara (sumu ya nyoka ni biashara nzuri)
5. Sitafuga nge kwa ajili ya biashara
6. Sitafuga samaki aina ya Bunju
7. Sitafuga aina yoyote ya kasa
Subiri siku wahuni wakutembelee akili itarudiUkiona mtu anatembea au analala na bunduki ujue hajawa tajiri.
Wewe huna akili? Sijasema usimiliki bunduki, ika ukiwa tajiri huwezi kubeba au kukala na bunduki. Wapo watu wa kazi huo.Subiri siku wahuni wakutembelee akili itarudi
Mkuu,Pablo Escobar alikua tajiri na alikua na ulinzi wa maana ila chuma ilikua haitoki kiunoni.Wewe huna akili? Sijasema usimiliki bunduki, ika ukiwa tajiri huwezi kubeba au kukala na bunduki. Wapo watu wa kazi huo.
Escobar sio binadamu wa kawaida. Alikuwa mhalifu wa kimataifa.Mkuu,Pablo Escobar alikua tajiri na alikua na ulinzi wa maana ila chuma ilikua haitoki kiunoni.
Nikizaliwa Mara moja nitakufa Mara moja, sijawahi kukiogopa kifo.Tajiri mkuu wa matajiri unaniangusha, matajiri wenzako wana 'safe' walizofungia bunduki kwa ulinzi binafsi
Magu alikuwa nayo 😄Mkuu,Pablo Escobar alikua tajiri na alikua na ulinzi wa maana ila chuma ilikua haitoki kiunoni.
Akaikoki mbele ya waandishi wa habariMagu alikuwa nayo 😄
Nimemuongelea kama Tajiri,Escobar sio binadamu wa kawaida. Alikuwa mhalifu wa kimataifa.
HawajiaminiTajiri mkuu wa matajiri unaniangusha, matajiri wenzako wana 'safe' walizofungia bunduki kwa ulinzi binafsi
Alikuwa na matatizo ya akiliAkaikoki mbele ya waandishi wa habari