Econometrician
JF-Expert Member
- Oct 25, 2013
- 16,879
- 31,253
Maisha yako yapi zaidi ya uliyonayo sasa hivi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa Bakhresa huo ni mfano mfu.kuna tajiri aaiefanya ujambazi hasa wa kunyonya mali za wenzake kuimalisha utajiri wake? Sifa kuu za tajiri acha hawa matajiri uchwara, nasema tajiri ni ujambazi wa umafia kuteketeza biashara za wengine ili abakie yeye sokoni.
Mfano Bakhresa anauza mpaka maandazi , sijui chapati ili kuangamiza akina mama ntilie abakie yeye mwenyewe anakusanya mpaka faida za hawa maskini. Huu ni ujambazi wa sokoni, yaani papa mkubwa anakulaau anaangamiza vidagaa.
Pia ili wewe uwe tajiri lazima kwenye kona yako ufanye ujambazi, kama hutaki kaa hivyohivyo utajiri utausikia kwa wenzio. Sasa fanya ujambazi mzuri sio huu wa kuiba na kukaba watu!
Sikumbuki, kuna clip aliikoki alooo ilikua tafraniHii ilikua mwaka gani mkuu??😂😂😂
Unamiliki bunduki just in case walinzi wako wamebananishwa au upo peke yako sekunde kadhaa. Walinzi wakirudi wasije kuokoa marehemu wakukute ukiwa hai unapambania uhai wako.Wewe huna akili? Sijasema usimiliki bunduki, ika ukiwa tajiri huwezi kubeba au kukala na bunduki. Wapo watu wa kazi huo.
8.Mke wa aina yoyote1. Bunduki
2. Vilipuzi vya aina mbalimbali
3. Sumu za aina mbalimbali
4. Sitafuga nyoka wa biashara (sumu ya nyoka ni biashara nzuri)
5. Sitafuga nge kwa ajili ya biashara
6. Sitafuga samaki aina ya Bunju
7. Sitafuga aina yoyote ya kasa
Sitafuga majini......ila moja Hadi TATU MUNGU anajua1. Bunduki
2. Vilipuzi vya aina mbalimbali
3. Sumu za aina mbalimbali
4. Sitafuga nyoka wa biashara (sumu ya nyoka ni biashara nzuri)
5. Sitafuga nge kwa ajili ya biashara
6. Sitafuga samaki aina ya Bunju
7. Sitafuga aina yoyote ya kasa
InshallahSitafuga majini......ila moja Hadi TATU MUNGU anajua