Hivi ni vitu ambavyo sitakuja kuvimiliki kwa maisha yangu yote

Hivi ni vitu ambavyo sitakuja kuvimiliki kwa maisha yangu yote

Unaogopa vilipuzi wkt una gari linalotumia petroli?
Unakataa vilipuzi wkt una gesi ya kupikia ndani kwako?
 
Ukiwaina ditopilealimshoot mtu mchsna kweupe,yule malima kule gest morogoro ilikuwaje,
Yule tajiri mmiliki wa zacharia akimfyatuamjinga mmoja sliyetaka kumteka
Zakaria alimshuti Isaac, Zakaria alikuwa mhalifu akilindwa na dola, alikuwa muuaji, na alishawahi kumwagia dereva wake tindikali.

Isaac naye alikuwa mhalifu, mikono na moyo wake ulijaa ukatili kama tu alionao Mafwele.
Tulimuonya hata kabla hajamuoa Julie hakusikia, hadi alipokuja kufikwa na Jambo kule Bunda ndio akajua kwamba kila mla cha mwenzie na chake pia huliwa
 
Unaogopa vilipuzi wkt una gari linalotumia petroli?
Unakataa vilipuzi wkt una gesi ya kupikia ndani kwako?
Kiswahili kina msamiati mdogo sana, naomba tu switch kwenye lugha ambayo imenikuza huenda nikafafanua vyema sana
 
Zakaria alimshuti Isaac, Zakaria alikuwa mhalifu akilindwa na dola, alikuwa muuaji, na alishawahi kumwagia dereva wake tindikali.

Isaac naye alikuwa mhalifu, mikono na moyo wake ulijaa ukatili kama tu alionao Mafwele.
Tulimuonya hata kabla hajamuoa Julie hakusikia, hadi alipokuja kufikwa na Jambo kule Bunda ndio akajua kwamba kila mla cha mwenzie na chake pia huliwa
Sio kwamba aliyemwagiwa tindikali ni dereva wa Bunda express
 
Pistol ukiwa nayo huna amani kila wakati unaigusa kama ipo
Yaani kila wakati wewe ni wasiwasi tu
Bora Short gun inakaa home unakuwa na amani
Kamwe siwezi baba pistol
Nina jamaa zangu wanazo huwa nawaona wanavyo weweseka
Ikiibiwa kesi kwako
Unamiliki kitu kinachokufanya uwe mtumwa sasa hakuna raha
 
Huyo ni jambazi. Anaishi kwa bastola.
kuna tajiri asiefanya ujambazi hasa wa kunyonya mali za wenzake kuimalisha utajiri wake? Sifa kuu za tajiri acha hawa matajiri uchwara, nasema tajiri ni ujambazi wa umafia kuteketeza biashara za wengine ili abakie yeye sokoni.
Mfano Bakhresa anauza mpaka maandazi , sijui chapati ili kuangamiza akina mama ntilie abakie yeye mwenyewe anakusanya mpaka faida za hawa maskini. Huu ni ujambazi wa sokoni, yaani papa mkubwa anakulaau anaangamiza vidagaa.
Pia ili wewe uwe tajiri lazima kwenye kona yako ufanye ujambazi, kama hutaki kaa hivyohivyo utajiri utausikia kwa wenzio. Sasa fanya ujambazi mzuri sio huu wa kuiba na kukaba watu!
 
kuna tajiri aaiefanya ujambazi hasa wa kunyonya mali za wenzake kuimalisha utajiri wake? Sifa kuu za tajiri acha hawa matajiri uchwara, nasema tajiri ni ujambazi wa umafia kuteketeza biashara za wengine ili abakie yeye sokoni.
Mfano Bakhresa anauza mpaka maandazi , sijui chapati ili kuangamiza akina mama ntilie abakie yeye mwenyewe anakusanya mpaka faida za hawa maskini. Huu ni ujambazi wa sokoni, yaani papa mkubwa anakulaau anaangamiza vidagaa.
Pia ili wewe uwe tajiri lazima kwenye kona yako ufanye ujambazi, kama hutaki kaa hivyohivyo utajiri utausikia kwa wenzio. Sasa fanya ujambazi mzuri sio huu wa kuiba na kukaba watu!
Pole sana.
 
Ukiwaina ditopilealimshoot mtu mchsna kweupe,yule malima kule gest morogoro ilikuwaje,
Yule tajiri mmiliki wa zacharia akimfyatuamjinga mmoja sliyetaka kumteka
Kwahio hao uliowatja ni matajiri? Sawa.
 
1. Bunduki
2. Vilipuzi vya aina mbalimbali
3. Sumu za aina mbalimbali
4. Sitafuga nyoka wa biashara (sumu ya nyoka ni biashara nzuri)
5. Sitafuga nge kwa ajili ya biashara
6. Sitafuga samaki aina ya Bunju
7. Sitafuga aina yoyote ya kasa
1 na 2 lazima nimiliki.
Muhimu sana hivyo.
 
Back
Top Bottom