The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
Hata tajiri Chujio hua lazima awe na chuma kwa ulinzi kamili.Magu alikuwa nayo 😄
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata tajiri Chujio hua lazima awe na chuma kwa ulinzi kamili.Magu alikuwa nayo 😄
Huyo ni jambazi. Anaishi kwa bastola.Nimemuongelea kama Tajiri,
Matajiri wengi hua wana chuma kiunoni,kuna muda hata walinzi wako huwezi kuwaamini 100%
Taja adhali ya kila kimoja na unitag1. Bunduki
2. Vilipuzi vya aina mbalimbali
3. Sumu za aina mbalimbali
4. Sitafuga nyoka wa biashara (sumu ya nyoka ni biashara nzuri)
5. Sitafuga nge kwa ajili ya biashara
6. Sitafuga samaki aina ya Bunju
7. Sitafuga aina yoyote ya kasa
Huku nilipo kua na chuma ni jambo la kawaida sana,Bongo ndio inakua maajabu mtu kua na chuma for self defence.Ni silaha tu kama panga, rungu, etc nashangaa kwanini fikira inakuwa tofauti kwa bastola
Pole sana kwani naona unaogopa kupata madhara kwa kumiliki hivyo vyote ulivyovitaja. Lakini kumbuka kifo ni kifo tu usiogope ni aina gani ya kifaa ambacho chaweza sababisha kifo chako.1. Bunduki
2. Vilipuzi vya aina mbalimbali
3. Sumu za aina mbalimbali
4. Sitafuga nyoka wa biashara (sumu ya nyoka ni biashara nzuri)
5. Sitafuga nge kwa ajili ya biashara
6. Sitafuga samaki aina ya Bunju
7. Sitafuga aina yoyote ya kasa
Pistol ukiwa nayo huna amani kila wakati unaigusa kama ipoHuyo ni jambazi. Anaishi kwa bastola.
Kidogo wapoteane ile siku, na jinsi wanajua akili ya yule bwana ilivyokua 😂😂😂Akaikoki mbele ya waandishi wa habari
Hivi Karne hii unaamini binadamu mwenzio kukulinda bila wewe kujilinda kwanzaWewe huna akili? Sijasema usimiliki bunduki, ika ukiwa tajiri huwezi kubeba au kukala na bunduki. Wapo watu wa kazi huo.
TrueAlikuwa na matatizo ya akili
Tungu-tungu a.k.a tunguri je?Sitakuja kumiliki mtumwa.
Utajiri au umasikini ni state of mind.1. Bunduki
2. Vilipuzi vya aina mbalimbali
3. Sumu za aina mbalimbali
4. Sitafuga nyoka wa biashara (sumu ya nyoka ni biashara nzuri)
5. Sitafuga nge kwa ajili ya biashara
6. Sitafuga samaki aina ya Bunju
7. Sitafuga aina yoyote ya kasa
Ukiwaina ditopilealimshoot mtu mchsna kweupe,yule malima kule gest morogoro ilikuwaje,Wewe huna akili? Sijasema usimiliki bunduki, ika ukiwa tajiri huwezi kubeba au kukala na bunduki. Wapo watu wa kazi huo.
Sitomiliki kadi ya kijani1. Bunduki
2. Vilipuzi vya aina mbalimbali
3. Sumu za aina mbalimbali
4. Sitafuga nyoka wa biashara (sumu ya nyoka ni biashara nzuri)
5. Sitafuga nge kwa ajili ya biashara
6. Sitafuga samaki aina ya Bunju
7. Sitafuga aina yoyote ya kasa
Kadi nuksiSitomiliki kadi ya kijani