bullar
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 9,530
- 20,988
Mchana piaKikubwa jamaa anakula usiku hayo mengine mtajua nyie 😛😛😛
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mchana piaKikubwa jamaa anakula usiku hayo mengine mtajua nyie 😛😛😛
🤣🤣🤣🤣Mchana pia
Aise nimeisoma hiyo "simping" kama "simpingi" hatari sana.Alimchukua for promo, but in reality ni suala la muda kabla na yeye hajalizwa.
Simping haijawahi kuwa solution
Simp anaonekana tu tangu mwanzo wa mahusiano. Zile harakati za Manara kutafuta validation kwa Zaylisa wakati mwitikio wa demu haulingani na nguvu kubwa anayotumia Manara. Kwa alpha male yoyote utajua tu hili ni penzi la upande mmojaUmetumia kipimo gani kuamini hivyo mkuu....??
😂😂😂😂😂😂😂Hivi walipima kwanza Dally Kimoko Virus kwani wengine tokea mwaka 2013 tuna Historia za Watu kuanzia Ilala Bungoni.
hiyo ni attitude ya unyanyapaa na ubaguzi uliokithiri dhidi ya albino wenye mafanikio makubwaKila nikiangalia Picha za Matukio mbalimbali ya Haji Manara na Mkewe Zaylisa naona ni kama vile Haji Manara ni Mtumwa Tukuka, analazimisha Kupendwa na Mkewe Zaylisa halafu ananyenyekea kiasi kwamba huenda hata huwa anampigia Magoti Mkewe Zaylisa ili asimuache.
Na hata nikimuangalia Mkewe Zaylisa kwa lile Jicho langu la Kinjagu (la Ndege Tai) namuona ni kama vile hafurahishwi kuwa na Haji Manara na kwamba kuna Mtu mmoja pembeni ama ndani au nje ya Nchi ndiyo analifaidi vilivyo Tunda lake zuri la katikati Mtini mwake.
Yawezekana pia Haji Manara anapitia magumu mengi mno na huyu Mkewe Zaylisa ila anaficha ili asiharibu Kibiashara.
HUenda upo sahihi Kwa mafikirio Yako ila hata wew kama umeoa wapo wanaosema huendani na mkeo nawala hufanani Kwa hadhi YakoKila nikiangalia Picha za Matukio mbalimbali ya Haji Manara na Mkewe Zaylisa naona ni kama vile Haji Manara ni Mtumwa Tukuka, analazimisha Kupendwa na Mkewe Zaylisa halafu ananyenyekea kiasi kwamba huenda hata huwa anampigia Magoti Mkewe Zaylisa ili asimuache.
Na hata nikimuangalia Mkewe Zaylisa kwa lile Jicho langu la Kinjagu (la Ndege Tai) namuona ni kama vile hafurahishwi kuwa na Haji Manara na kwamba kuna Mtu mmoja pembeni ama ndani au nje ya Nchi ndiyo analifaidi vilivyo Tunda lake zuri la katikati Mtini mwake.
Yawezekana pia Haji Manara anapitia magumu mengi mno na huyu Mkewe Zaylisa ila anaficha ili asiharibu Kibiashara.
Tena huyo atapiga mayowe hapo samora mnara wa askari tena atajua kaingia cha kike.Uyo Azizi Kii mwenyewe ni suala la muda.
Ndoa za mastaa wengi zinaonekana nzuri kwa nje ila uko ndani kunawaka motoKila nikiangalia Picha za Matukio mbalimbali ya Haji Manara na Mkewe Zaylisa naona ni kama vile Haji Manara ni Mtumwa Tukuka, analazimisha Kupendwa na Mkewe Zaylisa halafu ananyenyekea kiasi kwamba huenda hata huwa anampigia Magoti Mkewe Zaylisa ili asimuache.
Na hata nikimuangalia Mkewe Zaylisa kwa lile Jicho langu la Kinjagu (la Ndege Tai) namuona ni kama vile hafurahishwi kuwa na Haji Manara na kwamba kuna Mtu mmoja pembeni ama ndani au nje ya Nchi ndiyo analifaidi vilivyo Tunda lake zuri la katikati Mtini mwake.
Yawezekana pia Haji Manara anapitia magumu mengi mno na huyu Mkewe Zaylisa ila anaficha ili asiharibu Kibiashara.
Wote mnachapiwa sana, kuachana kupo hà ta Bill gà tes, Elon Musk na mà tajiri mà hà ndsome wote wamechapiwa. Acha mà nara a enjoy wakati wà ke. Kuna jà maa aliachwa na zay analia hadi leo.Kila nikiangalia Picha za Matukio mbalimbali ya Haji Manara na Mkewe Zaylisa naona ni kama vile Haji Manara ni Mtumwa Tukuka, analazimisha Kupendwa na Mkewe Zaylisa halafu ananyenyekea kiasi kwamba huenda hata huwa anampigia Magoti Mkewe Zaylisa ili asimuache.
Na hata nikimuangalia Mkewe Zaylisa kwa lile Jicho langu la Kinjagu (la Ndege Tai) namuona ni kama vile hafurahishwi kuwa na Haji Manara na kwamba kuna Mtu mmoja pembeni ama ndani au nje ya Nchi ndiyo analifaidi vilivyo Tunda lake zuri la katikati Mtini mwake.
Yawezekana pia Haji Manara anapitia magumu mengi mno na huyu Mkewe Zaylisa ila anaficha ili asiharibu Kibiashara.
Labda popoma ndiyo anaitamani hiyo nafasi.Naona humu kuna madume yanatamani nafasi ya Zaylisa
Mwanaume yeyote ukifilisika mwanamke anakuona tà kataka tuu. Hà ta wewe ukifikisikà mkeo atakukimbia.Ndoa nyingi zina mateso basi tu nikuvumiliana, cha msingi manara asifilisike
Vipi wewe na mumeo nani anampenda mwenzie zaidi kati yenu?Kila nikiangalia Picha za Matukio mbalimbali ya Haji Manara na Mkewe Zaylisa naona ni kama vile Haji Manara ni Mtumwa Tukuka, analazimisha Kupendwa na Mkewe Zaylisa halafu ananyenyekea kiasi kwamba huenda hata huwa anampigia Magoti Mkewe Zaylisa ili asimuache.
Na hata nikimuangalia Mkewe Zaylisa kwa lile Jicho langu la Kinjagu (la Ndege Tai) namuona ni kama vile hafurahishwi kuwa na Haji Manara na kwamba kuna Mtu mmoja pembeni ama ndani au nje ya Nchi ndiyo analifaidi vilivyo Tunda lake zuri la katikati Mtini mwake.
Yawezekana pia Haji Manara anapitia magumu mengi mno na huyu Mkewe Zaylisa ila anaficha ili asiharibu Kibiashara.
Usiku bora unaandaliwa penye penzi la kweliMuhimu anatoa chakula cha usiku kwq mwanetu, hayo mengine yanavumilika tu