Hivi ninayeliona hili kwa Haji Manara na Mkewe Zaylisa ni Mimi peke yangu tu hapa JamiiForums au tuko wengi?

Hivi ninayeliona hili kwa Haji Manara na Mkewe Zaylisa ni Mimi peke yangu tu hapa JamiiForums au tuko wengi?

Najaribu kuzuia unyanyapaa lakini huyo bibi anawezaje kuvumilia mabusu ya Mzungu?
 
Wote mnachapiwa sana, kuachana kupo hàta Bill gàtes, Elon Musk na màtajiri màhàndsome wote wamechapiwa. Acha mànara a enjoy wakati wàke. Kuna jàmaa aliachwa na zay analia hadi leo.
Mondi, Mbasha, Mwamposa wote wameachwa na wana wanawake wapya.
😁😆😅🤣😂 happ kwa mwampoo kuna wale wanaenda kuomba na kuombea ndoa na kuna yeye na mahusiano yake....hatari sana
 
Kila nikiangalia Picha za Matukio mbalimbali ya Haji Manara na Mkewe Zaylisa naona ni kama vile Haji Manara ni Mtumwa Tukuka, analazimisha Kupendwa na Mkewe Zaylisa halafu ananyenyekea kiasi kwamba huenda hata huwa anampigia Magoti Mkewe Zaylisa ili asimuache.

Na hata nikimuangalia Mkewe Zaylisa kwa lile Jicho langu la Kinjagu (la Ndege Tai) namuona ni kama vile hafurahishwi kuwa na Haji Manara na kwamba kuna Mtu mmoja pembeni ama ndani au nje ya Nchi ndiyo analifaidi vilivyo Tunda lake zuri la katikati Mtini mwake.

Yawezekana pia Haji Manara anapitia magumu mengi mno na huyu Mkewe Zaylisa ila anaficha ili asiharibu Kibiashara.
IMG-20250218-WA0070.jpg
Unamzungumzia Huyu Mzee @50 'Aliyeutega' Au Mwingine?
 
Mwanaume yeyote ukifilisika mwanamke anakuona tàkataka tuu. Hàta wewe ukifikisikà mkeo atakukimbia.
Hata mimi ni shuhuda nikiwahi kukimbiwa baada ya miaka 2 akaona alphard nyeusi inapack na geti jipya la ku slide akarudi anatembelea magoti.
Maskini huwa hatufirisiki.
 
Upo sahihi mkuu,
Kuna shida mahala kwenye mahusiano yao mimi ni mdau wa kusoma vitabu kuna kitabu kinaitwa how to read a person like a book nilikisoma nakiri pale penzi linapumulia mashine.
 
Back
Top Bottom