Tuelimishane kidogo
✓Kuna hela ya mtumishi wa umma anaktwa kwenye hifadhi za kijmii, mfano LAPF
✓Huyu mtumishi anapoenda kukopa Benki, Cha kwanza benki ataangalia kwenye LAPF yako umefikisha kiasi gani
✓Afu Benki watakukopesha kutokana na kiasi kilichopo kwenye LAPF
✓Endapo utatoroka na kuondolewa kwenye payment wao watapeleka barua huko LAPF kuonyesha deni lako na baada ya kujiridhisha,,pesa yako itahamishiwa kwenye account ya benki inayokudai