Hivi nini hatma ya mtumishi wa Serikali ambaye amekopa benki Tsh. mil. 15 na akaamua kutoweka kazini?

Hivi nini hatma ya mtumishi wa Serikali ambaye amekopa benki Tsh. mil. 15 na akaamua kutoweka kazini?

Kwa benki hakunaga tatizo kwa sababu mikopo yao huwa ina bima.

Na hata ikitokea wamekukamata huwa hakuna kesi ila mnakaa mezani na kupatana njia ya marejesho kutegemea na uwezo ulionao kwa wakati huo.

Ila kwa upande wa serikali sijajua kulingana na kitengo cha huyo mto anayekimbia kazi.

Kama ni kazi inayohusu uaskari ukikimbia wanakutafuta na wakikukamata wanakuweka mahabusu ukitoka unalazimishwa kuendelea na kazi.
Bima inacover tu kama mkopaji akifariki au akipata ulemavu ambao umepelekea kutoendelea na kazi hayo ya kuacha kazi na kukimbia bima hainacover hilo deni atalilipa.
 
Hapana hata mfanyakazi akikimbia huwa bima inalipa watu wa benki sio wajinga hivyo.

Isipokuwa kinachofanyika ni kwamba ukikimbia bima inawalipa lakini pia na wewe ukijipeleka wanakulipisha inakuwa wamepata faida mara 2.

Nina uzoefu wa rafiki zangu walichukua mikopo wakaacha kazi na hadi leo hawajatafutwa ishapita miaka 5 hadi sasa kimya.
Bima inacover tu kama mkopaji akifariki au akipata ulemavu ambao umepelekea kutoendelea na kazi hayo ya kuacha kazi na kukimbia bima hainacover hilo deni atalilipa ilo deni lake.
 
Hapana hata mfanyakazi akikimbia huwa bima inalipa watu wa benki sio wajinga hivyo.
Isipokuwa kinachofanyika ni kwamba ukikimbia bima inawalipa lakini pia na wewe ukijipeleka wanakulipisha inakuwa wamepata faida mara 2.
Nina uzoefu wa rafiki zangu walichukua mikopo wakaacha kazi na hadi leo hawajatafutwa ishapita miaka 5 hadi sasa kimya.
Hakuna kitu kama hiko Bima haina cover mtu akikimbia deni. Watu wa Bank na Bima wamo humu watatusaidia kwa info zaidi.
 
Amani ya Mwenyezi Mungu iwe nanyi

Kuna mtumishi mwenzetu ambaye amekopa benki kiasi cha Tsh. milioni 15 na baada ya wiki akatoweka hakuonekana tena kazini ni mwezi wa pili sasa tangia atoweke na wala hapatikani kwa mawasiliano yoyote yale

Je, nini hatma ya pesa aliyokopa benki, namaanisha marejesho?
Nini hatma yake kama siku anapatikana?
Ipi inaweza kuwa hukumu yake endapo atapatikana?
Crdb hiyooo na atakuwa ...?
 
Amani ya Mwenyezi Mungu iwe nanyi

Kuna mtumishi mwenzetu ambaye amekopa benki kiasi cha Tsh. milioni 15 na baada ya wiki akatoweka hakuonekana tena kazini ni mwezi wa pili sasa tangia atoweke na wala hapatikani kwa mawasiliano yoyote yale

Je, nini hatma ya pesa aliyokopa benki, namaanisha marejesho?
Nini hatma yake kama siku anapatikana?
Ipi inaweza kuwa hukumu yake endapo atapatikana?
Pesa kidogo Sana hio hata gari ya maana upati Kama una mpango huo usitoroke aitakufikisha popote.
 
Mikopo ina bima kama katoroka ishu ni yeye na mwajiri wake nina ushahidi wengi wamekopa wakaishilia kufanya yao mbona sioni wakitafutwa au benki zinafanya mikakati ya kuwanasa.
 
Pesa kidogo Sana hio hata gari ya maana upati Kama una mpango huo usitoroke aitakufikisha popote
No pretending fella's na sina nia ya kufanya hivo ila imetokea hiyo situation kwa ambae ninaemfahamu then nikajiuliza hayo maswali hapo nikakosa majibu ndio nikaona sio mbaya kama nikashare na wanajamvi. IS NOT ME
 
Jambo la kwanza mkopo una bima. Lapili uyo aliekimbia kazini ndo ameshajifukuza kazi maana sheria inasema ukiwa nje ya kituo cha kazi kwa zaidi ya siku 3 bila ruhusa au mwajiri kutokuwa na taarifa zako hiyo ni automatic termination.
 
No pretending fella's na sina nia ya kufanya hivo ila imetokea hiyo situation kwa ambae ninaemfahamu then nikajiuliza hayo maswali hapo nikakosa majibu ndio nikaona sio mbaya kama nikashare na wanajamvi. IS NOT ME
Hela ni nyingi Kama ujaishika
 
Back
Top Bottom