Sio kweliAtakatwa mshahara wake tu mpk uishe huku serikali ikimsaka vzr. Atadakwa tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio kweliAtakatwa mshahara wake tu mpk uishe huku serikali ikimsaka vzr. Atadakwa tu
Sio kweli, dhamana ya mkopo aliokopea ni nini?Bima inacover tu kama mkopaji akifariki au akipata ulemavu ambao umepelekea kutoendelea na kazi hayo ya kuacha kazi na kukimbia bima hainacover hilo deni atalilipa.
Hilo alilolifanya huyo staff mwenzako, benki wanalifahamu.Amani ya Mwenyezi Mungu iwe nanyi
Kuna mtumishi mwenzetu ambaye amekopa benki kiasi cha Tsh. milioni 15 na baada ya wiki akatoweka hakuonekana tena kazini ni mwezi wa pili sasa tangia atoweke na wala hapatikani kwa mawasiliano yoyote yale
Je, nini hatma ya pesa aliyokopa benki, namaanisha marejesho?
Nini hatma yake kama siku anapatikana?
Ipi inaweza kuwa hukumu yake endapo atapatikana?
Salary Mkuu!! Kuna Type mbili za Loan ,Kuna Personal Loan na Scheme Loan! Scheme Loan ni Kampuni wanakubaliana na Bank wawape mkopo so salary ndio inakuwa kama dhamana, Personal loan hapo ndio unaenda wewe kama wewe hapo dhamana inaweza kuwa MJENGO au Biashara yako!Sio kweli, dhamana ya mkopo aliokopea ni nini?
Mkopo wa benki unayo bima maana lolote linaweza kutokea mkopaji kufariki au kufukuzwa kazi....
Huyo anayezungumziwa ni mtumishi boss na dhamana yake ni mshaharaSalary Mkuu!! Kuna Type mbili za Loan ,Kuna Personal Loan na Scheme Loan!! Scheme Loan ni Kampuni wanakubaliana na Bank wawape mkopo so salary ndio inakuwa kama dhamana ,Personal loan hapo ndio unaenda wewe kama wewe hapo dhamana inaweza kuwa MJENGO au Biashara yako!!
Sio kwelibima ya mikopo ya watumishi na ya wafanya biashara wadogo huwa ina cover kifo, stock/bidhaa na dhamana kwa maana ya matukio ya wizi na moto tu na si vinginevyo
bima ya mikopo ya watumishi na ya wafanya biashara wadogo huwa ina cover kifo, stock/bidhaa na dhamana kwa maana ya matukio ya wizi na moto tu na si vinginevyo
Tutashukuru kwa elimu zaidi,hii ndio raha ya Jamii forumHuyo hatakuwa wa kwanza kukopa akatokomea mitini wako wengi na bank hawakufanyi chochote zaidi ya kukuingizia kwenye system zao za pamoja ili usikopesheke na bank yoyote ile milele.
Nina shahidi nyingi kwenye hili, mtumishi wa umma dhamana ya mkopo wake ni mshahara na si vinginevyo.
Nikipata mda nitaandika kwa kirefu
Kwa awamu hii mdeni akifariki inakuwa aje? Awamu hii kiboko, hata sheria na taratibu za kibenki duniani zimevumbuliwa awamu hii!Enzi za JK ingewezekana! Ila kwa awamu hii, lolote linaweza kutokea. Kama ni wewe mwenyewe mwenye mpango huo, ni vyema ukavumilia tu mpaka hilo deni litakapo kwisha!
Achana na hayo mambo ya kukopa sherehe, kulipa matanga.
Si ana nssf yake huwa wanakata. Usidhani jamaa wajinga kiasi hichoAmani ya Mwenyezi Mungu iwe nanyi
Kuna mtumishi mwenzetu ambaye amekopa benki kiasi cha Tsh. milioni 15 na baada ya wiki akatoweka hakuonekana tena kazini ni mwezi wa pili sasa tangia atoweke na wala hapatikani kwa mawasiliano yoyote yale
Je, nini hatma ya pesa aliyokopa benki, namaanisha marejesho?
Nini hatma yake kama siku anapatikana?
Ipi inaweza kuwa hukumu yake endapo atapatikana?
Bima sio wajinga kiasi hicho. Ukiacha kazi unalipa deni lako mwenyewe. Na si ajabu likaenda hadi kwa next of keen wako.Hapana hata mfanyakazi akikimbia huwa bima inalipa watu wa benki sio wajinga hivyo.
Isipokuwa kinachofanyika ni kwamba ukikimbia bima inawalipa lakini pia na wewe ukijipeleka wanakulipisha inakuwa wamepata faida mara 2.
Nina uzoefu wa rafiki zangu walichukua mikopo wakaacha kazi na hadi leo hawajatafutwa ishapita miaka 5 hadi sasa kimya.
Usitoroke kazini mkuu kama una deni, subiri umalize deni halafu uache kazi kwa utaratibu ndugu mil15 kwa maisha ya kujificha sio nyingi mkuuAmani ya Mwenyezi Mungu iwe nanyi
Kuna mtumishi mwenzetu ambaye amekopa benki kiasi cha Tsh. milioni 15 na baada ya wiki akatoweka hakuonekana tena kazini ni mwezi wa pili sasa tangia atoweke na wala hapatikani kwa mawasiliano yoyote yale
Je, nini hatma ya pesa aliyokopa benki, namaanisha marejesho?
Nini hatma yake kama siku anapatikana?
Ipi inaweza kuwa hukumu yake endapo atapatikana?
Je na wale walisimamishwa kazi Kwa vyeti feki inakuwaje.Amani ya Mwenyezi Mungu iwe nanyi
Kuna mtumishi mwenzetu ambaye amekopa benki kiasi cha Tsh. milioni 15 na baada ya wiki akatoweka hakuonekana tena kazini ni mwezi wa pili sasa tangia atoweke na wala hapatikani kwa mawasiliano yoyote yale
Je, nini hatma ya pesa aliyokopa benki, namaanisha marejesho?
Nini hatma yake kama siku anapatikana?
Ipi inaweza kuwa hukumu yake endapo atapatikana?
Sio kweliBima sio wajinga kiasi hicho. Ukiacha kazi unalipa deni lako mwenyewe. Na si ajabu likaenda hadi kwa next of keen wako.
Next of keen au next of kin?Bima sio wajinga kiasi hicho. Ukiacha kazi unalipa deni lako mwenyewe. Na si ajabu likaenda hadi kwa next of keen wako.