Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muulize Mkuu wa Mkoa wa Njombe. Anaziwezea sana issue kama hiziAmani ya Mwenyezi Mungu iwe nanyi
Kuna mtumishi mwenzetu ambaye amekopa benki kiasi cha Tsh. milioni 15 na baada ya wiki akatoweka hakuonekana tena kazini ni mwezi wa pili sasa tangia atoweke na wala hapatikani kwa mawasiliano yoyote yale
Je, nini hatma ya pesa aliyokopa benki, namaanisha marejesho?
Nini hatma yake kama siku anapatikana?
Ipi inaweza kuwa hukumu yake endapo atapatikana?
Mi nilikopa TIGO NIWEZESHE mbona nipo nadunda tu. Au labda ndiyo wananitafuta kimyakimya kama Kigogo wa Twitter. Acha tusikilizie tuone.
Kama ni hivyo iweje wafanyakazi hewa/vyeti feki walipofuzwa kazi Ma bank yanadai Tsh.49.5bil walizowakopesha hao wafanyakazi kwa mujibu wa barua ya Tanzania Bankers kwenda serikalini wakiulizia hatma ya mpunga wao.Hapana hata mfanyakazi akikimbia huwa bima inalipa watu wa benki sio wajinga hivyo.
Isipokuwa kinachofanyika ni kwamba ukikimbia bima inawalipa lakini pia na wewe ukijipeleka wanakulipisha inakuwa wamepata faida mara 2.
Nina uzoefu wa rafiki zangu walichukua mikopo wakaacha kazi na hadi leo hawajatafutwa ishapita miaka 5 hadi sasa kimya.
Wapo mbona kitaa wanadunda Kuna mtu huku alikopa m 20 yupo sema alikimbiaga Sasa ameludi na hakuna anayemtafuta kifupi alijilipa mafao yakeJe na wale walisimamishwa kazi Kwa vyeti feki inakuwaje.
Mim nliacha kazi serikalin kwa kufuata taratibu na nikaandika barua benki ili wanipe utratibu wa kumalizia deni....hawakunijibu, na waliendelea kukata kwenye salary yangu mpaka imeisha, ila tu kile kiwango ambacho nlikua nakipata baada ya makato kikawa sikioni, ila kila mwezi napata notification ya mshahara hadi deni limeisha..mwaka wa 5 sasa kimya! Mara nyingi mwajiri kama ni serikali huendelda kubeba mzigo mana ndio mdhaminiHapana hata mfanyakazi akikimbia huwa bima inalipa watu wa benki sio wajinga hivyo.
Isipokuwa kinachofanyika ni kwamba ukikimbia bima inawalipa lakini pia na wewe ukijipeleka wanakulipisha inakuwa wamepata faida mara 2.
Nina uzoefu wa rafiki zangu walichukua mikopo wakaacha kazi na hadi leo hawajatafutwa ishapita miaka 5 hadi sasa kimya.
Mim nliacha kazi serikalin kwa kufuata taratibu na nikaandika barua benki ili wanipe utratibu wa kumalizia deni....hawakunijibu, na waliendelea kukata kwenye salary yangu mpaka imeisha, ila tu kile kiwango ambacho nlikua nakipata baada ya makato kikawa sikioni, ila kila mwezi napata notification ya mshahara hadi deni limeisha..mwaka wa 5 sasa kimya! Mara nyingi mwajiri kama ni serikali huendelda kubeba mzigo mana ndio mdhamini
Sent using Jamii Forums mobile app
LAPF hadi ufikishe milion 15 hadi miaka kibao ya kazini, Mara nyingi deni huendelea kulipwa na mdhamini ambae ni mwajiri. Mim nliacha nikiwa na mkopo na bado nikaenda kulamba LAPF michango yangu nlikuata tumilion tutatu 3Tuelimishane kidogo
✓Kuna hela ya mtumishi wa umma anaktwa kwenye hifadhi za kijmii, mfano LAPF
✓Huyu mtumishi anapoenda kukopa Benki, Cha kwanza benki ataangalia kwenye LAPF yako umefikisha kiasi gani
✓Afu Benki watakukopesha kutokana na kiasi kilichopo kwenye LAPF
✓Endapo utatoroka na kuondolewa kwenye payment wao watapeleka barua huko LAPF kuonyesha deni lako na baada ya kujiridhisha,,pesa yako itahamishiwa kwenye account ya benki inayokudai
Ukienda kukopa kama mdhamini ni serikali, mshahara haufungwi hata siku moja, benki hawapati hasara hata siku moja na ndio maana wanamsainisha form mwajiri wako. Kinachotokea wanapiga withheld tu wew unakua hupati ila payroll inakwenda na jina lako na benki wanakata chaoSasa walikuwa wanakata mshahara gani wakati umesema kazi uliacha?
Ina maana serikalini ukiacha kazi bado mishahara yako inaendelea?
Hapo sawa nimekupata.Ukienda kukopa kama mdhamini ni serikali, mshahara haufungwi hata siku moja, benki hawapati hasara hata siku moja na ndio maana wanamsainisha form mwajiri wako. Kinachotokea wanapiga withheld tu wew unakua hupati ila payroll inakwenda na jina lako na benki wanakata chao
Sent using Jamii Forums mobile app
Yeah mkuu, ukiwa umeajiriwa halmashauri mkurugenzi au afisa utumishi lazima ndie anaeidhinisha upewe mkopo. Kama sector binafsi vilevile na ndio maana sehem nyingi binafsi hawafanyi hayo mambo hata kama salary wanipitishia benki. Hawakudhamini kamwe wanaogopa risk, mana hilo deni wataendelea kulilipa hadi liishe, benki hata siku moja hawapati hasara, hayo mambo yote washapiga hesabu zao....na sio kukata kwenye mafao kama mdau mmoja alivyosema..mtu anafanya kazi miaka 2 anakopa milion 20, atakua kachangia laki 8 tu unakuta!Hapo sawa nimekupata.
Maana yake unapoenda kukopa serikali anakuwa ni mdhamini wako.
Kwenye baadhi ya makampuni binafsi huwa wanakubali kuwa mdhamini kama hivyo na wengine hawakubali kuwa mdhamini kwa hiyo watu wa mabenki wana take risks.
Na wakiendelea kukuweka kuweka mshahara while haupo kazini na bado unadaiwa bank ni nini watakufanya .Ukienda kukopa kama mdhamini ni serikali, mshahara haufungwi hata siku moja, benki hawapati hasara hata siku moja na ndio maana wanamsainisha form mwajiri wako. Kinachotokea wanapiga withheld tu wew unakua hupati ila payroll inakwenda na jina lako na benki wanakata chao
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo uzembe huwa wa afisa utumishi hakuna madhara yyte, hata mim nlikula kama miez 5 hivi baadae ndio ukakatwa...inatakiwa anapeleka taarifa benki, payroll ikienda wanakata cha kwao na kile kilichobaki mtumishi haingiziwi, bali huwekwa kwenye account maaalum ya serikali! Ila watakuja kumkatia tu kupitia uhakiki, au sometimes unakuta mtumishi amecheza dili na afisa utumishi wanakula wote hizo helaNa wakiendelea kukuweka kuweka mshahara while haupo kazini na bado unadaiwa bank ni nini watakufanya .
Kuna jamaa yangu ni bado wanaweka mshahara. Mwaka wa 2 huu
Kwa mfumo wa Sasa HV ukiacha kazi kabla ya tarehe tano hutapata huo mshahara..taarifa zinafika fasta hazina wanakutoa kwenye systemHapo uzembe huwa wa afisa utumishi hakuna madhara yyte, hata mim nlikula kama miez 5 hivi baadae ndio ukakatwa...inatakiwa anapeleka taarifa benki, payroll ikienda wanakata cha kwao na kile kilichobaki mtumishi haingiziwi, bali huwekwa kwenye account maaalum ya serikali! Ila watakuja kumkatia tu kupitia uhakiki, au sometimes unakuta mtumishi amecheza dili na afisa utumishi wanakula wote hizo hela
Sent using Jamii Forums mobile app
Tuelimishane kidogo
✓Kuna hela ya mtumishi wa umma anaktwa kwenye hifadhi za kijmii, mfano LAPF
✓Huyu mtumishi anapoenda kukopa Benki, Cha kwanza benki ataangalia kwenye LAPF yako umefikisha kiasi gani
✓Afu Benki watakukopesha kutokana na kiasi kilichopo kwenye LAPF
✓Endapo utatoroka na kuondolewa kwenye payment wao watapeleka barua huko LAPF kuonyesha deni lako na baada ya kujiridhisha,,pesa yako itahamishiwa kwenye account ya benki inayokudai