Jana sijui ulikuwa umelala au ulikuwa na ugeni🤭We Dogo uwe unaniita huko unyagoni Kwa dada yako@Lamomy
😂😂😂😂😂Sawa kabisaa...ukimbamba sehemu anatoa darasa nipigie simu haraka sana
Haya kaka njoo, ndugu hatugombani..!!Nakuja tuongee 🤣
basi utakua pisi kali😋kUmbe wewe huwa unajibu?
Kwa mtu yoyote huwa nataka msg direct
Tofauti na hapo huwa sijibu...
NImejaza unread msg za wajinga kisa salamu zisizoisha...
Ntakushtua Madame habari nyingine 🤣🤣Sawa kabisaa...ukimbamba sehemu anatoa darasa nipigie simu haraka sana
Hao labda ni wale wanajiuza ila wanawake wanaojiheshimu utu wao haupimwi kwenye pesa na mostly hawaombiSawa sawa ila sasa awe muwazi kuwa usinisumbue weka mzigo tukutane sehemu simpo ..visiwe virefu kma vikao vya harusi
Funga office tusepe😂😂😂hamna mteja atakuja saiziHaya kaka njoo, ndugu hatugombani..!!
Nitatoa ka elfu 50 tupike kuku na pilau na wewe tunakuwekea.!!
Na elfu 15 ya kreti la soda tunywe kaka maisha ndo haya haya, life is too short 😜
Ushatoka kwa wangoni na wazaramo? 😂😂Msiniache nyuma Manka wa watu mie🤣🤣🤣kwetu mgombani hatuna unyago
Hivi wanaume waliomo humu Jf ndo hao hao tunaokutana nao vilabuni huku Makulu?Kwema?
Hivi nyie baadhi ya wanaume unavyoandikia mwanamke meseji Huwa mnawaza Nini?
Mtu anakuandikia mambo?unamjibu poa tu,
Anauliza Tena,Kwema?unamjibu kwema?
Anauliza tena,uko poa lakini?
Unajibu poa?
Sasa anamalizia Tena""NIAMBIE ""😣
Jamani hebu muwe serious basi,Umeanza mwenyewe mazungumzo halafu unaniambia nikwambie, nikwambie Nini sasa?eti Huwa mnataka tuwaambie Nini?Binafsi sana sana ukiniambia nikwambie nitakuomba Hela....halafu utaanza kulalamika na kulilia maana watu wenyewe wa siku hizi tunawajua ni lialia,wakati we mwenyewe umesema nikwambie.,au ni kutafutana lawama tu?
Kwa kweli Mtu akishaniambia hiyo"NIAMBIE"Huwa anikera sana...
Hebu tupumzisheni basi viumbe vya mola jamani..
Karibu namtumboHivi wanaume waliomo humu Jf ndo hao hao tunaokutana nao vilabuni huku Makulu?
Sasa mbona wa humu wanajionaga expensive sana?
Dawa yao ni kuwaomba pesa, ili salamu ziwe fupifupi.
Utakuta mwanaume anakupa salamu ndefu...halafu mwisho wa siku, utamsikia...."niko Njombe"...
Mie Niko Dom, wewe wa Njombe utanipa nini?
Kwanza kutuma nauli kwenyewe hawatumi...hebuuuu💅💅
Niko bar nalewa miye, kkoo nimeachia duka madogo natimba kesho kupiga hesabu 🤣🤣🤣Funga office tusepe😂😂😂hamna mteja atakuja saizi
Shoga, siku hizi hakuna cha migombani, wala matutani.Msiniache nyuma Manka wa watu mie🤣🤣🤣kwetu mgombani hatuna unyago
Kuna Mmoja aliniambia Yuko Peramiho eti niende! nikamwambia tuma nauli....Hivi wanaume waliomo humu Jf ndo hao hao tunaokutana nao vilabuni huku Makulu?
Sasa mbona wa humu wanajionaga expensive sana?
Dawa yao ni kuwaomba pesa, ili salamu ziwe fupifupi.
Utakuta mwanaume anakupa salamu ndefu...halafu mwisho wa siku, utamsikia...."niko Njombe"...
Mie Niko Dom, wewe wa Njombe utanipa nini?
Kwanza kutuma nauli kwenyewe hawatumi...hebuuuu💅💅
NITUMIE NAULIKaribu namtumbo
Ohoooo! Kumbe we ni developed nation 🤣Kuna ww Afu Kuna mm manamba mwenyeweNiko bar nalewa miye, kkoo nimeachia duka madogo natimba kesho kupiga hesabu 🤣🤣🤣
We upo wapi? Sh ngp?NITUMIE NAULI