Hivi nyie baadhi ya wanaume unavyoandikia mwanamke meseji Huwa mnawaza Nini?

Hivi nyie baadhi ya wanaume unavyoandikia mwanamke meseji Huwa mnawaza Nini?

Wazungumzie na baadhi ya ladies wanaojishaua kujibu english mkianza mawasiliano alafu ukiendeleza anakuambia kwani hujui kiswahili?

Au Unamwambia - Hello rafiki how is life going?

Anakujibu: Yes.

Kama mtu hujui lugha hiyo why uanzishe wakati hujajua competence yangu ikoje?
 
Nilicho jifunza unaweza kupendwa na wanawake 99 ila wew uka fall Kwa msumbufu mmoja..

Heka heka za ujana wengine wame kua ma heartless hata hawashitushwi na chochote
Na katika maisha lazima kuna wakati utaangukia usipopendwa, yaani unajilazimisha mtu wala hashtuki.
Aaah wa hivyo nakata kona chap sana!!
 
Kwamba mtu akikusalimia yeye ndio aulize hali yako wewe sio shida zako? Engage kwenye salam, sio kila kitu anauliza mwenzako wewe ni mikato tu.
Tumemaliza salamu Sema shida sasa unaniambiaje nambie
 
Na katika maisha lazima kuna wakati utaangukia usipopendwa, yaani unajilazimisha mtu wala hashtuki.
Aaah wa hivyo nakata kona chap sana!!
Mkuu,
Inaonyesha wew huwezi kujipendekeza kabisa 😊😊 ni aina ya watu kama Fid Q
 
Kwema?

Hivi nyie baadhi ya wanaume unavyoandikia mwanamke meseji Huwa mnawaza Nini?

Mtu anakuandikia mambo?unamjibu poa tu,

Anauliza Tena,Kwema?unamjibu kwema?

Anauliza tena,uko poa lakini?
Unajibu poa?
Sasa anamalizia Tena""NIAMBIE ""[emoji21]
Jamani hebu muwe serious basi,Umeanza mwenyewe mazungumzo halafu unaniambia nikwambie, nikwambie Nini sasa?eti Huwa mnataka tuwaambie Nini?Binafsi sana sana ukiniambia nikwambie nitakuomba Hela....halafu utaanza kulalamika na kulilia maana watu wenyewe wa siku hizi tunawajua ni lialia,wakati we mwenyewe umesema nikwambie.,au ni kutafutana lawama tu?

Kwa kweli Mtu akishaniambia hiyo"NIAMBIE"Huwa anikera sana...
Hebu tupumzisheni basi viumbe vya mola jamani..
Acha uongo
hata wanawake wana ujinga huu au nitume ushahidi hapa?
 
Back
Top Bottom