Jeep wrangler
JF-Expert Member
- Jan 7, 2024
- 524
- 1,093
Mkuu hauko sahihi, hapo mapenzi hata bado kutongozanaI hate cheap women in every three words two are connected with money.............wakati mapenzi sio pesa mapezi ya kununua hayana laadha.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu hauko sahihi, hapo mapenzi hata bado kutongozanaI hate cheap women in every three words two are connected with money.............wakati mapenzi sio pesa mapezi ya kununua hayana laadha.
Nani anataka kuambukizwa uti sugu...🙄Ulizingua🤣🤣
Hii avatar naipendaga sanaaa [emoji3059] [emoji1787][emoji1787] tukirudi kwenye topic ya shangazi Joannah umesahau na wale wa kuuuliza vipi umekula au unafanya kazi gani hivi unataka kugundua niniii jamaniKumekucha kumekucha
Haya wanaume mnaitwa na dada mkubwa huku [emoji23][emoji23][emoji23]
Ila sema dada akikutumia muamala mbona utamuanza mwenyewe kumwambia “Niambie” [emoji2088][emoji2088][emoji2088][emoji2088]
Huyo mwa j wa jf 😆😆🤣Mwa J nilimwambia "naomba nikupige pipe" akanijibu "njoo", then nikamwambia "nilikua nakutania tu"....🤣🤣🤣
Ha ha haaaaaaaa.....Umenikumbukusha mademu wa Arusha, huwezi hata kuchat nae atakukata stimu tu
Mtu unamuanza
You: mambo vipi salma
Yeye: mzuka Arif nigani
Dah unaona namna Gani hapa ila unajikaza unaendelea
You: salma nimekumis ujue
Yeye: acha basi kunifunga mota jombi
Unaona isiwe kesi unamblock
Nakutumia laki 3, kama kuna upungufu utaniambia.Naomba hela
Mpaka mtu anakutumia txt za Ivo mko kwa active relationship, kama unaona ni za kijinga mkanye asikutumie then akiacha uanze kulalamika hakuchekHii avatar naipendaga sanaaa [emoji3059] [emoji1787][emoji1787] tukirudi kwenye topic ya shangazi Joannah umesahau na wale wa kuuuliza vipi umekula au unafanya kazi gani hivi unataka kugundua niniii jamani
Aaaah muombe ela tuKwema?
Hivi nyie baadhi ya wanaume unavyoandikia mwanamke meseji, huwa mnawaza nini?
Mtu anakuandikia mambo? Unamjibu poa tu.
Anauliza tena, Kwema? Unamjibu kwema?
Anauliza tena, uko poa lakini? Unajibu poa?
Sasa anamalizia tena, "NIAMBIE" 😣
Jamani, hebu muwe serious basi. Umeanza mwenyewe mazungumzo halafu unaniambia nikwambie, nikwambie nini sasa? Eti huwa mnataka tuwaambie nini? Binafsi sana, sana ukiniambia nikwambie, nitakuomba hela... Halafu utaanza kulalamika na kulilia, maana watu wenyewe wa siku hizi tunawajua ni lialia, wakati wewe mwenyewe umesema nikwambie, au ni kutafutana lawama tu?
Kwa kweli, mtu akishaniambia hiyo "NIAMBIE," huwa anikera sana...
Hebu tupumzisheni basi, viumbe vya mola, jamani.
Matonya wako wengi.Binafsi sana, sana ukiniambia nikwambie, nitakuomba hela...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ooh HALLELUJAH [emoji28]
Akisema hana namuachaWe omba tu😁
Ujue sisi wakongwe tunauliza jina kwanza, then size, tunaomba namba tukiwa na zawadi mkononi.Ujengewe sanamu
HahahahahahaHii avatar naipendaga sanaaa [emoji3059] [emoji1787][emoji1787] tukirudi kwenye topic ya shangazi Joannah umesahau na wale wa kuuuliza vipi umekula au unafanya kazi gani hivi unataka kugundua niniii jamani