Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Achana na huyo mnyenye gono, njoo kwanguWe njoo PM,na Gono lako na Kila kitu usiache...
Kaka ndio swagger zako hizi kweli.[emoji23]Achana na huyo mnyenye gono, njoo kwangu
Nyauu wee. Unataka nifie kinenani ?[emoji35][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mwenye Gono ndio mwanaume rijali kaupiga mwingi
Fungua huko PM kwanza nihakiki kama nipo hai ama nishafariki na kuoza.Hapa siongelei mpenzi,naongelea mwanaume anajaribu kuanza mazoea na Hajui road map...anabaki Niambie,niambie,niambie I don't like that
Sasa si ndio hapo mwisho wa siku wataanita baasha[emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Anakuharibia mingo zako
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nakaziaaaa.Kumekucha kumekucha
Haya wanaume mnaitwa na dada mkubwa huku [emoji23][emoji23][emoji23]
Ila sema dada akikutumia muamala mbona utamuanza mwenyewe kumwambia “Niambie” [emoji2088][emoji2088][emoji2088][emoji2088]
Ee naona malaika wako wa dhambi anaagiza kitabu kipya, kile kishajaa[emoji849]Mbona Iko wazi [emoji849]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wa mkoani tunasemaga straight,pita geto jioni Nimemiss hio kumer.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huwa natumia kwa nisiye muelewaa.Umenikumbukusha mademu wa Arusha, huwezi hata kuchat nae atakukata stimu tu
Mtu unamuanza
You: mambo vipi salma
Yeye: mzuka Arif nigani
Dah unaona namna Gani hapa ila unajikaza unaendelea
You: salma nimekumis ujue
Yeye: acha basi kunifunga mota jombi
Unaona isiwe kesi unamblock
Sasa ndio utumie silaha kubwa hivi[emoji23][emoji23][emoji23]Unataka kumpa presha mama Mwifwa Junior au?
Ila wakubwa wanafaidi sana?Duuuh [emoji1787][emoji1787]
Ooh HALLELUJAH [emoji28][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huwa natumia kwa nisiye muelewaa.
Yaan had huwa nachekaaa.