Hivi nyie baadhi ya wanaume unavyoandikia mwanamke meseji Huwa mnawaza Nini?

Hivi nyie baadhi ya wanaume unavyoandikia mwanamke meseji Huwa mnawaza Nini?

Hao wanakutumia meseji za hivyo ni madomo zege na hawana pesa.
Dawa yao waombe pesa wakose pozi na kuanza kukuna pumbu zao.

Sisi wahenga huwa tunaenda kwenye point straight away.
Point gani Straight ukichati na mpenzi wako toa mfano
 
Hapa naona mwenye tatizo ni wewe mapenzi ni mawasiliano lakini wewe mnu anaazisha cheating humuoneshi ushirikiano

Mambo ~ Poa tu
Kwema ~ Kwema

Wewe unaona hayo majibu sahihi kwa mtu anayejielewa kumjibu mtu hasa mpenzi au yeyote.

Message ya mtu anayejielewa ina pande mbili ya kujibu na kuchochea mawasiliano au mada.

Mambo ~ Poa, nzima wewe
Kwema ~ Kwema, vipi kuhusu wewe

Jamaa kakosa cha kuendelea kwasbabu mawasiliano yapo One Side wewe unamjibu short bila kuchagiza mada.

Nyie ndio wapenzi musikuwa na Content kwenye mahusiano hamuwezi hata kuwa wabunifu kwa mpenzi wa namna yako mimi naachana na wewe mapema tu
 
Wa mkoani tunasemaga straight,pita geto jioni Nimemiss hio kumer.
Kwahio wewe huna kingine cha kuwasiliana na mpenzi wako zaidi ya muda wa geto kumwambia geto jioni, hii inamaanisha ukiwa hina activities za geto uko Week days hata hamuwasilaini kabisa
 
kUmbe wewe huwa unajibu?
Kwa mtu yoyote huwa nataka msg direct
Tofauti na hapo huwa sijibu...

NImejaza unread msg za wajinga kisa salamu zisizoisha...
Kwa mbali tunaelekeana. Salamu ndefu siziwezi, watu wa karibu wanajua nina uvivu eneo la salamu.
Naweza nikakunyeza na kusmile hapo ndo nimekusalimia nimemaliza.
 
Back
Top Bottom