Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sana.Karibu Dear....
Mambo ya Uswazi raha sana
Kuwaroga mchana.🤣🤣🤣Hatumii nguvu...nachekaga Ile ya kuwaroga waume zao mchana kweupe
Ilibidi nijitafakari😅Namna hiyo
Napenda kusikia feedback kutoka kwa mwari wangu.
Usiniangushe somo yako.
Haya shoga, mie nipo
Sasa nawe unamharakisha wapi anayetaka angalao akupe maisha ya siku 2/3.Ama tu ndio yale ya maskini jeuri😅Kwema?
Hivi nyie baadhi ya wanaume unavyoandikia mwanamke meseji Huwa mnawaza Nini?
Mtu anakuandikia mambo?unamjibu poa tu,
Anauliza Tena,Kwema?unamjibu kwema?
Anauliza tena,uko poa lakini?
Unajibu poa?
Sasa anamalizia Tena""NIAMBIE ""😣
Jamani hebu muwe serious basi,Umeanza mwenyewe mazungumzo halafu unaniambia nikwambie, nikwambie Nini sasa?eti Huwa mnataka tuwaambie Nini?Binafsi sana sana ukiniambia nikwambie nitakuomba Hela....halafu utaanza kulalamika na kulilia maana watu wenyewe wa siku hizi tunawajua ni lialia,wakati we mwenyewe umesema nikwambie.,au ni kutafutana lawama tu?
Kwa kweli Mtu akishaniambia hiyo"NIAMBIE"Huwa anikera sana...
Hebu tupumzisheni basi viumbe vya mola jamani..
Cheap women ni wale unawalala bila kuwahudumia,umejioketea kilabuni,,tunza mwanamke wako uone kama utamwita cheap broI hate cheap women in every three words two are connected with money.............wakati mapenzi sio pesa mapezi ya kununua hayana laadha.
Marehemu Issa Matona anakwambia" utashangaa mume kapita, katiwa kwapani, wewe unajiuliza yule si ni mume wangu, watu washapita nae, anapikiwa vimchuzi vya papa na sima laini..."Ilibidi nijitafakari😅
Stimu lazima ziyeyuke 😁Umenikumbukusha mademu wa Arusha, huwezi hata kuchat nae atakukata stimu tu
Mtu unamuanza
You: mambo vipi salma
Yeye: mzuka Arif nigani
Dah unaona namna Gani hapa ila unajikaza unaendelea
You: salma nimekumis ujue
Yeye: acha basi kunifunga mota jombi
Unaona isiwe kesi unamblock
Buku 5 ni sawa na bure.Buku Tano zote za Nini,Kuna miamba inapiga samjo tu we bado hujaiva
Wanaume wa Dar hawana muda na Msg...Watakuwa wanaume wa daselama hao, hasa hasa kinindoni na sinza
😂😂😂😂 Hebu nikapike miyeNimegongwa like mbili na Diamond unadhani na ubabalevo wangu nitaachaje kugonga like,hebu usinisumbue we Zuchu😂
😂😂😂😂🙌🙌Cheap women ni wale unawalala bila kuwahudumia,umejioketea kilabuni,,tunza mwanamke wako uone kama utamwita cheap bro