Hivi nyie mnaoshangilia Mpira wa Fujo, Kukamiwa, Kuumizwa na Ahadi za Viongozi wenye Uyanga wanazofanyiwa Simba SC mna Akili timamu?

Hivi nyie mnaoshangilia Mpira wa Fujo, Kukamiwa, Kuumizwa na Ahadi za Viongozi wenye Uyanga wanazofanyiwa Simba SC mna Akili timamu?

MINOCYCLINE

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2015
Posts
8,018
Reaction score
16,802
1. Mbona hawa Viongozi Wanafiki na wenye Uyanga 100% akina Ally Hapi ( Mkuu wa Mkoa wa Mara ) na Mbunge wa Dodoma Mjini Antony Mavunde Biashara United FC na Dodoma Jiji FC zikicheza na Timu zingine huwa hawatoi Ahadi zao kama Vilabu hivi vikicheza na Simba SC?

2. Sikatai kutoa Motisha ila ukitoa Motisha huku ukihimiza Wachezaji wa Simba SC waumizwe ndiyo unatimiza Kauli Mbiu ya FIFA ya Fair Play?

3. Ahadi kwa Timu zinazocheza tu na Simba SC zinazoambata na Kuumizwa kwa Wachezaji wake Muhimu zina Tija kwa Soka la Tanzania?

4. Wachezaji wa Simba SC ambao Wanaumizwa kwa Makusudi na Kimkakati wasipocheza na Simba SC kufanya vibaya Kimataifa Aibu itabakia tu kwa Simba SC au na kwa Tanzania kama Taifa?

5. Mnaoshangilia hadi Kushadadia Rafu Mbaya ( Mpira wa Fujo ) wanazofanyiwa Wachezaji wa Simba SC hivi Siku ikitokea nanyi Wachezaji wenu Muhimu kama Khalid Aucho, Shabaan Djuma, Yanick Bangala, Dickson Job na Feisal Salum mtashangilia kama mnavyoshangilia wa Simba SC Kuumizwa?

6. Hivi mnajua kuwa endapo Simba SC itatolewa mapema CAF CL kutokana na kuwakosa Wachezaji wake Waandamizi ( Muhimu ) Taifa litapoteza zile nafasi Nne ( 4 ) lakini pia hata Kiuchumi na Kiutalii nchi itaathirika kwa namna moja au nyingine?

7. Je, ikitokea hii Mbinu ya Kimkakati ya Kuwaumiza ( Kuwajeruhi ) Kimakusudi Wachezaji wa Simba SC isopofanikiwa na Simba SC kuendelea Kushinda hamtaamua sasa Kupanga Mikakati ya kuwawekea Sumu Wachezaji wa Simba SC ili Wafe kabisa na Ubingwa wa Ligi Kuu mnaoutafuta kwa Tochi ndani ya miaka Minne ( 4 ) mfululizo mtawazwe nyie kama Makaimu Bingwa?

Tumeshaamua Kumshtakia Baba Mola!!
 
Hivi kanuni ya kadi nyekundu adhabu yake ikoje??? Kadi Nyekundu ya lwanga Ina validity ya mechi zipi?? Kwann leo kacheza
 
Hivi kukamia maana yake ni nini?

Timu ichezeje ili ionekane haijakamia?

Je ni kosa kisheria timu kukamia kama unavodai?
 
Hivi kanuni ya kadi nyekundu adhabu yake ikoje??? Kadi Nyekundu ya lwanga Ina validity ya mechi zipi?? Kwann leo kacheza
Stupid yaani pamoja na Umri wako mkubwa hujui kuwa ukipewa Kadi Nyekundu baada ya kupewa ya Njano unakosa Mechi ( Mchezo ) Mmoja tu?

Angepewa Straight Red Card ndiyo angekosa Mechi ( Michezo ) Miwili na kwa Kosa Kubwa zaidi kama lile la Bernard Morrison la Kuvua Bukta na kuwa na Chupi ( Boksa ) Adhabu yake Kikanuni ni Kukosa Michezo ( Mechi ) Tatu tu.

Tonombe Mukoko ambaye alimpiga Kiwiko John Boko na Kupewa Kadi Nyekundu ameshaimaliza Adhabu na Kesho ikimpendeza Kocha atapangwa ila kwa Rafu mbaya ya Mshambuliaji wa Dodoma Jiji FC Anwar Jabir aliyomchezea Beki Kennedy Juma Kamati ikikaa atakosa Michezo ( Mechi ) Tatu.

Simba wanajitambua kuliko Ujuha wako.
 
Simba kila inapocheza wapinzani wake wanaahidiwa zawadi na UTOPOLO FC.
Wakishinda wanalipwa 15m
Waki droo wanalipwa 10m
Na mlipaji ni LiGSM.
Akimtumia MINARA.
 
Tunakushukuru kwa hizi Taarifa nzito kwa mustakabali wa Taifa na Soka letu kwa ujumla.
Weka majina yako, namba ya simu na mtaa unaoishi, kwa ushahidi zaidi tunataka tuyafanyie kazi.
Akhsante.
 
Au ikitokea visasi mpira wataupeleka wapi?

Mbadhani hicho mnachokifanya watu wengine hawawezi kukifanya?

Kilianza mwaka jana kwenye mechi ya prisons,unaona wachezaji wameenda kwa nia ya kuumiza wachezaji wa Simba ili ikibidi wakose mechi muhimu za CAF championship.

Halafu kuna kauli kama za ubaguzi zinatolewa kwa wachezaji wa nje wakifanyiwa hivi,ili wanaofanya wapate sapoti kutoka kwa wachezaji wengine wa ndani.

Hii ni aibu,nimemsikia Amri Kiemba akishabikia sana michezo ile leo nimeamini huyu jamaa ni utopolo,na ana chuki kubwa na Simba
 
Wakati Kennedy Juma ana mkita guu la mgongo mhezaji wa biashara tena kwa maksudi na refa akishuhudia mashabiki wa Simba mliona kitu Cha kawaida.
Mechi ya Simba dhidi ya Dodoma Kennedy Juma kafanyiwa yeye tena refa hakuliona tukio mbaka pale alipo shauriwa na Mugalu ndipo refa alipo mpatia kadi nyekundu mchezaji wa Dodoma jiji mashabiki wa Simba mnaona sahihi.
Nawashauri Simba, Acheni kulia chezeni mpira ata wachezaji wenu wanacheza vurugu Uwanjani.
 
1. Mbona hawa Viongozi Wanafiki na wenye Uyanga 100% akina Ally Hapi ( Mkuu wa Mkoa wa Mara ) na Mbunge wa Dodoma Mjini Antony Mavunde Biashara United FC na Dodoma Jiji FC zikicheza na Timu zingine huwa hawatoi Ahadi zao kama Vilabu hivi vikicheza na Simba SC?

2. Sikatai kutoa Motisha ila ukitoa Motisha huku ukihimiza Wachezaji wa Simba SC waumizwe ndiyo unatimiza Kauli Mbiu ya FIFA ya Fair Play?

3. Ahadi kwa Timu zinazocheza tu na Simba SC zinazoambata na Kuumizwa kwa Wachezaji wake Muhimu zina Tija kwa Soka la Tanzania?

4. Wachezaji wa Simba SC ambao Wanaumizwa kwa Makusudi na Kimkakati wasipocheza na Simba SC kufanya vibaya Kimataifa Aibu itabakia tu kwa Simba SC au na kwa Tanzania kama Taifa?

5. Mnaoshangilia hadi Kushadadia Rafu Mbaya ( Mpira wa Fujo ) wanazofanyiwa Wachezaji wa Simba SC hivi Siku ikitokea nanyi Wachezaji wenu Muhimu kama Khalid Aucho, Shabaan Djuma, Yanick Bangala, Dickson Job na Feisal Salum mtashangilia kama mnavyoshangilia wa Simba SC Kuumizwa?

6. Hivi mnajua kuwa endapo Simba SC itatolewa mapema CAF CL kutokana na kuwakosa Wachezaji wake Waandamizi ( Muhimu ) Taifa litapoteza zile nafasi Nne ( 4 ) lakini pia hata Kiuchumi na Kiutalii nchi itaathirika kwa namna moja au nyingine?

7. Je, ikitokea hii Mbinu ya Kimkakati ya Kuwaumiza ( Kuwajeruhi ) Kimakusudi Wachezaji wa Simba SC isopofanikiwa na Simba SC kuendelea Kushinda hamtaamua sasa Kupanga Mikakati ya kuwawekea Sumu Wachezaji wa Simba SC ili Wafe kabisa na Ubingwa wa Ligi Kuu mnaoutafuta kwa Tochi ndani ya miaka Minne ( 4 ) mfululizo mtawazwe nyie kama Makaimu Bingwa?

Tumeshaamua Kumshtakia Baba Mola!!
Wenyewe wanasema kipindi hiko wala hawakulalamika!

Aliyekuwa Mlezi wa Timu yetu ya Simba akitoa zawadi kwa timu ya KMC ilipoifunga Utopolo

IMG-20211002-WA0000.jpg
 
Tunakushukuru kwa hizi Taarifa nzito kwa mustakabali wa Taifa na Soka letu kwa ujumla.
Weka majina yako, namba ya simu na mtaa unaoishi, kwa ushahidi zaidi tunataka tuyafanyie kazi.
Akhsante.
Mpira wa Tanzania sasa unaenda Kuharibika.
 
Wakati Kennedy Juma ana mkita guu la mgongo mhezaji wa biashara tena kwa maksudi na refa akishuhudia mashabiki wa Simba mliona kitu Cha kawaida.
Mechi ya Simba dhidi ya Dodoma Kennedy Juma kafanyiwa yeye tena refa hakuliona tukio mbaka pale alipo shauriwa na Mugalu ndipo refa alipo mpatia kadi nyekundu mchezaji wa Dodoma jiji mashabiki wa Simba mnaona sahihi.
Nawashauri Simba, Acheni kulia chezeni mpira ata wachezaji wenu wanacheza vurugu Uwanjani.
Hujawahi kuwa na Akili hapa JamiiForums.
 
Back
Top Bottom